Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe atia nia kugombea urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe atia nia kugombea urais kupitia CHADEMA

kwa hiyo moja kwa moja hii hapa ni danga toto, mwisho wa siku anajifanya kujiengua wakati hana sifa hata za kuwa rais wa JMT.
Mimi binafsi nashangaa sana,hivi kama jiwe kaweza nani atashindwa??
 
June 15, 2020

Mbowe aandikiwa barua ya kutia nia urais 2020

 
Mwenyekiti wa Chadema na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mh Mbowe leo ameandika barua rasmi ya kutia nia ya kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chadema.

Hii inafanya jumla ya wanachama walio tia nia kugombea nafasi ya Urais Tanzania kupitia Chadema kufikia wanne baada ya Tundu Lissu, Peter Msigwa na Lazaro Nyalandu kutangaza nia siku chache zilizopita.

My take.
Kama kweli mh Mbowe ana nia ya dhati basi ni rasmi sasa Chama kitampitisha kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang'anyilo cha Urais, sidhani kama Kuna mtu atakuwa na ubavu wa kupiga kura ya hapana kumkataa mwenyekiti asipewe nafasi hiyo.
Tundu Lissu ajiandae upya kwa awamu nyingine.

Swali ni je mh Mbowe anatosha kwa nafasi hiyo ya Urais?

Ushawishi wake kwa watanzania ukoje?

Ana sera zenye nguvu za kushindana na Magufuli.?

Mwisho nitoe pongezi kwa Chadema kwa kuwa na Democrasia imara.

Wewe ni mwongo na mzushi 100%....

Sijui kwa mission yako ya kubeba na kusema uongo unataka kua - achieve nini tu....

Mbowe katoa tamko leo na KAMWE HAJATIA NIA HIYO na HANA MPANGO HUO kwani anaamini waliokwisha tia nia na watakaoendelea mpaka muda uliotolewa wanatosha na anaamini ni wazuri na kufaa...

Yeye anataka kutumia muda wake kujenga na kuimarisha chama pamoja na kuongoza mchakato wa chama kupata wagombea wazuri kuanzia udiwani, ubunge na Urais...

Video hapa chini:
 
Lumumba mpaka sasa wamesha changanyikiwa kuona kuwa kutia nia kugombea Urais siyo dhambi kuu kama ambavyo CCM Mpya wanawaaminisha wana CCM na waTanzania.

CCM Mpya waruhusuni wanachama wanaofikiri ni wagombea bora , hofu ya nini? Kama kweli demokrasia ipo ndani ya CCM Mpya basi toeni kisingizio cha utamaduni sijui mazoea na desturi yenu mruhusu demokrasia ndani ya chama chenu.
 
CHADEMA ni waigizaji. Mpaka sasa hivi uwezi jua wamepanga nini na wataendelea kuigiza nini. Tuvute subira. Muda ni jibu.

Una problem wewe sio bure...

Waigize kitu gani wakati wenzio wanafanya?

Watu "wanatia nia" za kuwania Urais wa TZ halafu wewe unasema wanaigiza!!!???

Mbona sijakuelewa...
 
Africa tutakuwa watu wa ajabu sana,ni nchi moja tu barani Africa inayoongozwa na DJ, nayo ni Madagascar chini ya andry Rajoelina sasa naona DJ mbowe anataka atembelee nyota ya DJ mwenzake wa Madagascar.

Anajidanganya,Tanzania bado sana hatujafikia kiwango cha kuongozwa na DJ ,yeye akafufue tu club billcannaz yake,huko atapiga mpunga mrefu sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Huko kwa DJ ndipo tulituma lidege letu kutuletea tiba ya corona. Hawa ma Djs wanaweza sana kuendesha nchi.
 
Navuta picha siku hiyo anatangazwa Mbowe kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania[emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji848][emoji848]
20200615_235944.jpg
 
Mwenyekiti wa Chadema na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mh Mbowe leo ameandika barua rasmi ya kutia nia ya kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chadema.

Hii inafanya jumla ya wanachama walio tia nia kugombea nafasi ya Urais Tanzania kupitia Chadema kufikia wanne baada ya Tundu Lissu, Peter Msigwa na Lazaro Nyalandu kutangaza nia siku chache zilizopita.

My take.
Kama kweli mh Mbowe ana nia ya dhati basi ni rasmi sasa Chama kitampitisha kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang'anyilo cha Urais, sidhani kama Kuna mtu atakuwa na ubavu wa kupiga kura ya hapana kumkataa mwenyekiti asipewe nafasi hiyo.
Tundu Lissu ajiandae upya kwa awamu nyingine.

Swali ni je mh Mbowe anatosha kwa nafasi hiyo ya Urais?

Ushawishi wake kwa watanzania ukoje?

Ana sera zenye nguvu za kushindana na Magufuli.?

Mwisho nitoe pongezi kwa Chadema kwa kuwa na Democrasia imara.
Kwani Magu ana sera ?😂😂😂😂
 
Mwenyekiti wa Chadema na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mh Mbowe leo ameandika barua rasmi ya kutia nia ya kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chadema.

Hii inafanya jumla ya wanachama walio tia nia kugombea nafasi ya Urais Tanzania kupitia Chadema kufikia wanne baada ya Tundu Lissu, Peter Msigwa na Lazaro Nyalandu kutangaza nia siku chache zilizopita.

My take.
Kama kweli mh Mbowe ana nia ya dhati basi ni rasmi sasa Chama kitampitisha kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang'anyilo cha Urais, sidhani kama Kuna mtu atakuwa na ubavu wa kupiga kura ya hapana kumkataa mwenyekiti asipewe nafasi hiyo.
Tundu Lissu ajiandae upya kwa awamu nyingine.

Swali ni je mh Mbowe anatosha kwa nafasi hiyo ya Urais?

Ushawishi wake kwa watanzania ukoje?

Ana sera zenye nguvu za kushindana na Magufuli.?

Mwisho nitoe pongezi kwa Chadema kwa kuwa na Democrasia imara.


Ungesubiri badala ya uzushi
 
Hivi kuna chama cha upinzani cha kuishinda CCM kwa sasa? Kwa mikakati ipi hasa? Mwaka 2015 walibadilishia gia angani, wakakaribisha mafisadi ndani ya umoja wao wa UKAWA. Wananchi waliwaunga mkono sana mwaka ule, ila wamewavunja moyo waliowaunga mkono kwa kufanya maamuzi ambayo hayakuwa na tija. Waache tamaa na ubinafsi

Wakae chini, waangalie walipojikwaa na kupanga mikakati thabiti ya muda mfupi na mrefu ya kushinda uchaguzi. Kukishinda chama kilicho na dola na ambacho kimekaa madarakani kwa miaka mingi si jambo rahisi.

Good for you.

Shida yako ni nini?
Sisi tuna yetu na nyie CCM chini ya yesu wenu wa chattle mnayenu.
Fanya yako kitimoto wewe
 
Tundu lissu anatosha
Mgombea urais na Mwenyekiti wa chama ni vitu viwili tofauti
 
Hizi ndio Political Calculations, lumumba endeleeni kupiga kelele tu.
 
Chifu Mbowe, hadi akiwa kaburini mzimu wake utagombea
Nina mshauri Mhs Mbowe asigombee Urais bali awatengeneze hao vijana, mmoja wao ateuliwe na chama kugombea Uraisi!!
Itapendeza saana akijikita kujenga chama, kiwe imara kuhimili mikiki ya CCM!!
Ni ushauri tuu.
Mbarikiwe!!
 
Una akili sana.Mbowe hana mpango wa uraisi bali lengo ni kuongeza hamasa na pia kuonyesha demokrasia ndani ya CHADEMA ilivyo na hasa pale atapokosa hiyo nafasi yeye kama mwenyekiti na huo utakuwa ni uthibitisha kuwa yeye si dikteta kama inavyosemwa na ma-CCM na ndio maana kakosa licha ya yeye kuwa mwenyekiti.

CHADEMA ina watu very strategic katika kufanya siasa.
Sasa kwanini chadema mnafanya usanii? Acheni wenye Nia ndio waombe kuteuliwa achaneni na huyo msanii yeye kila kitu kuigiza tuu. Vp maigizo ya kushambuliwa yamefikia wapi?
 
Kwani akigombea lazima apitishwe? So mchujo utafanyika? Nashauri chadema waweke mdahalo Wa wagombea wote live, wananchi tuchuje na wanachadema kiujumla.
Hizo ni siasa za ndani ya chama, mdahalo uje kitaifa kwa wagombea wa vyama vyote!!
Je mko tayari kufanya hivyo??
 
Mbona nilisikia hajafika kule wanapo ita mlimani na sifa ya Raisi kikatiba ni Lazima awe na jiwe (Degree) angalau moja - iliyo patikana kwenye Chuo Kikuu cha hapa nchini ila kama ni Chuo cha nje ya nchi lazima kiwe kinatambuliwa na TCU
Hii ni katiba ya CCM, iliwekwa ili kumzuia Lyatonga kugombea urais 1995 kupitia CCM ndo akahama akagombea kupitia NCCR Mageuzi. Hata Mbowe pamoja na zero Yake 2005 aligombea kupitia CDM.
 
Aliahidi kutoa taarifa rasmi ya kuvamiwa pale Dodoma pindi atakapotoka hospitali. Ameshatoa hiyo taarifa?
Hawezi kutoa taarifa yoyote. Familia haimwamini Tena. Majirani wanasema mwanae kasusa kaondoka sababu kwanini baba Yake kaumia taarifa hakumpa kakimbilia nyumba ndogo!
 
Back
Top Bottom