Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

We jifariji tuu.unafikiri CHAMUDATA ni chama cha upinzani???ni CDM tuu,wengine wahuni tuu.uyo jpm Mungu kamchukua ili iwe fundisho kwenu.bado wengine wabishi
Mbona mnahangaika sana? mlimchukua enh? hofu ya nini? andamaneni basi nyie watanzania polisi hawawezi kuwaua wote mko wengi sana.
 
Ila rekebisha kidogo hapo "tuhame twende Rwanda" ni "tuhame twende Burundi"
 
Baada ya kutoka RUMANDE alikokaa kwa miaka 9 kasoro ninayakumbuka vyema maneno ya Sheikh Mselem bin Ali wa Uamsho pale aliposema "tukiambiwa hili msifanye ,hili muache basi hatutofanya kwani huwezi kupambana na mwenye nguvu na mamlaka ya kinchi "

#NchiKwanza
#AmaniKwanza
#JMT4Ever
 
Haki itasimama huyu mvaa ushungi aiambiedunia huu ugaidi wa Mbowe kaudanyia wapi,lini na ni Nani ameadhirika asitusababishie chuki zisizo na maana.
 
 
Mamlaka kama ile ya muuaji na mwendawazimu aliyefariki kwa korona ndiyo watu wazitii? Korona ilituondolea uchafu!
Hahaha...chuma kiliwanyoosha, na hakikuwahi vaa barakoa, hiyo corona yenu ya kila aina ilipofail ndo mkaamua kuwatendea uhaini watanzania, takataka kama wewe huwezi jua lolote.
 
Ulifutiwa KESI zako....

Ukalipwa FEDHA zako....

Bado tu....

We umo tu ....

Tena "umo" kwa vitu visivyo msingi...

Badala ya KULIJENGA TAIFA ,NA KUWAACHA VIJANA WALIJENGE TAIFA na kuwa na uchumi bora ndani ya femili zao Kama ULIVYO WEWE...kinyume chake UNAWAHAMASISHA WAFANYE FUJO NA KUPELEKEA NCHI KUKOSA UTULIVU.....

#KaziIendelee
#NchiKwanzaSiasaBaadae
 
Yaelekea Polisi wetu wana kesi nyingi za kusadikika ambazo wanazo kwenye makabati yao ambazo zinasubiri mtu ambaye wanataka kumwondoa kwenye circulation wambambikie.

Kuna dogo moja mpiga debe walimpa kesi ya armed robbery akawekwa rumande Keko kwa muda wa mwaka mmoja na nusu mpaka familia ilivyojichangisha kesi ikaisha bila hata kwenda mahakamani.

Polisi pekee atakaenda peponi ni afande Masudi Mohammed ambaye kifo chake enzi za Hutu Immigrants Reign of Terror kilizua utata!
 
Hivi polisi wapo ajili ya wananchi kweli au CCM na genge lake?
 
Hahaha...chuma kiliwanyoosha, na hakikuwahi vaa barakoa, hiyo corona yenu ya kila aina ilipofail ndo mkaamua kuwatendea uhaini watanzania, takataka kama wewe huwezi jua lolote.
Mwendawazimu alishindwa ku-control uwendawazimu wake. Hakutatokea tena rais mshamba kama yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…