Na wewe unauamini huo upumbavu wa polisi??aisee Kumbe Mbowe na kundi lake walikuwa watu hatari kiasi hiki!!!
yaani ni zaidi ya Majambazi, yaaani wanapanga njama za kuuuwa watu! duh! aisee hawa watu hawafai kabisaaa!! sio binaadamu.
Tena tunaomba Jeshi letu la polisi lifanye uchunguzi kwa weledi wa hali ya juuu ili mtando wote wakamatwe maaana hawa ndio wanao hatarisha usalama na amani ya Taifa letu.
Sheria ichukue mkondo wake.
Little education is very dangerousMbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.
Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.
Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli na uki connect dot utaelewa Tundu Lisu alijuaje kama Magufuli anaumwa?
Ni haya makundi ya ugaidi ndiyo yalikuwa yanawapa taarifa.View attachment 1863503
Mm nimeanza kua na wasiwasi inaweza kua ni mbinu zao kwa kushilikiana na mbowe ili kelele za tozo zifutike,maana naona habari ya tozo kwa sasa hazipo tena kila mtu kaelekeza mawazo kwa mbowe huku tozo zikiendelea kama kawaida,hawa wana siasa sio wakuwaamini sana.Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.
Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.
Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli na uki connect dot utaelewa Tundu Lisu alijuaje kama Magufuli anaumwa?
Ni haya makundi ya ugaidi ndiyo yalikuwa yanawapa taarifa.View attachment 1863503
SiempreSSHMdude Nyagali kweli sakala....
Yaani hivihivi uipokonye CCM ule wimbo wa hayati Komredi John Komba ?!!
"Wembe wembe ,wembe ni uleule Ushindi,wembe ni uleule UMOJA"
#KidumuCCM
#SiempreSSH👍
Magufuli aliuwawa kwani?Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.
Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.
Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli
Ndiyo maana LISU alikuwa wa kwanza kusema Magufuli anaumwa na hatapona.
kwa hali hii ya Mbowe na wenzake kupanga Mauaji!! hawa sio binaadamu kabisaa ni zaidi ya wanyama.Na wewe unauamini huo upumbavu wa polisi??
SiempreSSH....SiempreSSH
Gavana assalaam alaykum akhui!Binadamu maisha hasomi makosa ya wenzake. Hawa CCM wanavyofanya waelewe mpira ukigeuka wanaweza kuja kufanyiwa wao haya ,
TIME WILL TELL
Nimeanza kufunga kwa siku thelathini ili Mungu atende kama alivyotenda mwezi marchi .Ukweli ndio suluhu ya yote hata kama ni wahalifu lakini wananchi wapatiwe ukweli.
Njama za kuua na kufanya ugaidi sio ndogo.
Wananchi wapewe ukweli juu ya hii saga.
Andika na namba zako za simu halafu jipige picha ukiwa unachuma mboga halafu itume na comments zakona tunaomba Jeshi letu la polisi kwa kushirikiana wafanye uchunguzi wa kina na wa kitaalamu bila kufanya makosa wakamatwe wote amabao wapo ktk mtandao wa kuratibu na kupanga matukio ya kigaidi.wasibaki maana hao ni hatari sana kwa usalama wa Ncho yetu
KIPI mkuu?Watapata wanachokitafuta hawa MA-CCM
Wewe mbwa magaidi ni hao CCM wenzakokuna mahali mlikosea kulea hii tabia ya kigaidi ikashamiri.
tena walijipenyeza kila mahali bila kujua. wapo ndani ya mfumo wanawatumikia magaidi. Hakikisheni mnasafisha mnyororo wote wa kigaidi.
Mkuu Polisi wanafanya kazi ya ajabu..Tuliache jeshi letu la polisi lifanye kazi yake. Kuhusu ukweli na uongo utajulikana mbele ya safari
CCM wanasema ndo washambakia Mbowe kesi ya ugaidi, mtafanya nini?Kubambikia kesi nzito baadhi ya wanasiasa ili kuwafumba midomo ni jambo ambalo halikubaliki hata kidogo.
Amani maana yake unaijua?kwa hali hii ya Mbowe na wenzake kupanga Mauaji!! hawa sio binaadamu kabisaa ni zaidi ya wanyama.
Wauaji, wacha sheria ifanye kazi.
watanzania tunataka amani, magaidi waacha wakae huko gerezani.