Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali


That’s what crooks do; they muddy the waters!
 
Mbowe mjinga sana. Timing ya katiba ni mbovu. Angesubili kwanza walau miaka miwili mbele. Sson baada yakifo cha jiwe ndo wameibuka kama panya. Wacha wachomwe.

Mbowe analeta ugaidi nchini.
 
Mm hua nacheka tu nikioana mambo km haya maana hata German ilivo kua inavamia na kuuua raia kwa ubabe tu siku vita ilivo badilika wengine walijiua maana kipigo kilikua cha hasira ya juu kwa matendo waliyo kua wanawafanyia watu.Mm nashauri tu hebu tunapo dili na viongozi tuwe na umakini sana kuto jaza jazba baadae wakija kushika dola wakafanya unyama kwa kua tu mliwatesa.
 
I
nawezekana ikawa wewe ndiye davidmisime wa polisi
 
Nilishawahi kusema hapa jamvini watu wa inteligency wanatakiwa kuwa creme na sio failure katika kipindi hiki ambacho dunia inaonekana kuwa kama kijiji then majitu yanaharisha uharo publically ati jamaa ni gaidi inasikitisha sana, tunaonekana jinsi tulivyo viazi tena viazi mviringo kabisa shame on US
 
Lile ni genge la kisiasa la CCM! Tangu lini Polisi mwenye kuheshimu kazi yake akapokea maagizo ya mwana siasa? Kama si ujinga ni kitu gani?

Yaani Mbowe ana mashtka ya ugaidi? Wanawashwa hawa sio bure
Mbowe na genge lake la kikosi lazi chao lazima yashughulikiwe. Imefika mwisho, ukiona mpaka mama ameacha polisi wafanye kazi hiyo ujue kapewa taarifa za inteligence za kutosha...
 
Rubbish
 
Acha kiherehere. Hawa policcm hawajawahi kuwa wakweli kwa lolote.
 
Time will tell, unafurahi watanzania wenzako kubambikiwa makosa ya kumnyima dhamana. Muda utaongea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…