Raja Casablanca
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 706
- 368
Eti anaupiga mwingi ?!!?!;: . . . Shenzi kabisaJuzi tu mlimsifia mama! Acheni chokochoko, ccm ni ile ile
Naenda kumwambiaMama ni sn*tch
Kuna jamaa wa pale jikoni kabisa waliwekewa mitego wakanasa na wameshatimuliwa kazi mmoja wapo alikuwa msaidizi wa karibu kabisa wa asumani. (Hawa ndio walikuwa wanampa na yule jamaa kule twiter za jikoni jikoni ndio maana saa hivi unaona habari mpya zimepungua).Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?
Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Na Mimi, asiumwe yy amekuwa immortal? Mataga nendeni shule hamna kesi hapoLisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?
Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
UtoporooooHakuna kiongozi yeyote makini anaetaka amani na utulivu akawavumilia chadema na huu ndo ukweli Chadema mnafanya siasa za kizamani sana mnafanya siasa zilizokuwa zinafanyika enzi za kupigania uhuru
JPM ndo aliwaweza vzr Gwanda zilikuwa night dress mnazivaa usk wkt wa kulala
Tuhuma zake zilitakiwa zisubiri mpaka aitishe kongamano la kudai katiba mpya ndo akamatwe?Ni ajabu na kweli kwani inashangaza sanaNampongeza rais Suluhu kwa kutokurupuka kumnasa Mbowe mapema. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, sitoend mbali na kuwaboa kwa kuandika gazeti hapa. Kuna maongezi ya kina Mbowe ambayo ni nyeti yalinaswa na serikali na baada ya hapa wakaanza kufuatiliwa taratibu mpaka serikali ikajiridhisha nayo ndipo wakamkamata huyu gaidi. Hasira za kukosa urais zimemponza Mbowe na Lissu na ndiyo maana Lissu hataki kurudi nchini anaogopa kunyongwa.
Matusi yenu hayatawasaidia kupata katiba mpya.
wanamtafuta kwani alijificha?Mbowe alijua kuwa Anatafutwa na Police
Baada ya msemaji wa polisi kuibuka na kuutangazia umma kwamba Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kujiusisha na mambo ya ugaidi......imeshtusha sana.
Ni kweli Jeshi la Polisi lina uweledi mkubwa kwenye ugunduzi wa mambo yanayohusiana na uhalifu, lakini kwenye hili tuombe Allah...iwe kweli, ila ikiwa vinginevyo baadhi ya viongozi wawe na tabia ya kuwajibika kwa manufaaa ya Taifa letu pendwa Tanzania.
Katiba mpya ndio tatizo kila mtu anajua.Ukweli ndio suluhu ya yote hata kama ni wahalifu lakini wananchi wapatiwe ukweli.
Njama za kuua na kufanya ugaidi sio ndogo.
Wananchi wapewe ukweli juu ya hii saga.