Kama Wananchi siyo wapumbavu basi Polisi ndio haswa. Hujiulizi iweje wamkamate Mbowe na umaarufu wote huo na kuutangazia Umma kuwa anatuhumiwa ugaidi!!Vurugu zipi? Wananchi wapi unawasemea? Hivi Unafikiri wananchi ni wapumbavu kama wewe? Wananchi wanaona wanaujua ukweli acha kuendekeza njaa zako kujinufaisha kupitia uonevu unyanyasaji uovu mateso ya kishamba kwa chadema
Du,ni wa ndani na familia?Nimemdharau na kumwona SSH kama mtoto wa chekechekea kwa kumbambika kesi ya ugaidi Mbowe. Kweli uliona wapi bundi kwenye kundi la njiwa hii nchi haikupaswa kuongozwa na mzanzibar tena mwanamke na mke wa tatu Kati ya wanawake wanne. Yani hata mumewe hamuamini kumfanya kuwa mke mkubwa.
Hayawi hayawi sasa yamekua, waswahili wanasema mchelea mwana kulia hulia mwenyewe....!
Kuna watu wapo tayari kuisaidia serikali kuhusu ugaidi wa mbowe. Wapo tayari kuisaidia serikali kuondoa magaidi yote nchini, nchi ibaki na amani...
Watu wengi wameonyesha kuwa tayari na hii inatokana na pengine mambo yake alikuwa akifanya akijua watu wanapenda kupenda kuna wazalendo wa nchi walikuwa wanamuangalia tu.
Huku mtaani nilipo kila mtu anashukuru serikali kwa hatua imazochukua kupambana na magaidi na pia wanasema nao wapo tayari kutoa ushahidi endapo serikali itahitaji.
Kwa kifupi ni kuwa safari hii hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe.
Pia nitoe rai kwa watu wengine kama pia Wana ushahidi wamiminike zaidi kwenda kutoa ushahidi.
Ugaidi ni mbaya, ugaidi ni laana dunia nzima Hadi nchi zilizoendelea zinapiga vita ugaidi, hivyo yatupasa hapa kwetu pia kuunganaa na serikali kiyaapiga vita magaidi yote yaliyojificha kwenye kivuli cha siasa.
Pia niwaombe serikali hakuna kuonea huruma gaidi yoyote yule, serikali inapaswa kuwashughulikia ipasavyo.
Kamanda umeogopa kutoa hilo kalio tu nje uandamane, je shughuli ya Kibiti utaiweza?Kibiti inaenda kuanza upya, unyama umyamani, sasa hivi ni ambush mbalimbali mikoani
Kuanzia balozi mpaka Mwenyekiti wa kijani ngazi zote tukikunusa una vinasaba vya kijani kichwa chako halali yetKamanda umeogopa kutoa hilo kalio tu nje uandamane, je shughuli ya Kibiti utaiweza?
Nakuunga mkonoNatabiri kwa jicho la kinabii, kifo cha bibi very soon
Una akili pumbavuHivi mtaendelea kuwafanya vijana WAJINGA mpaka lini?!!!
Hivi humu barani afrika siasa zinarahisishwa kiasi mfanyavyo?!!
Ingekuwa ni rahisi BOBI WINE angekuwa Prezooo...
Ingekuwa ni rahisi Raila Odinga angekuwa ni Prezooo....
Ingekuwa ni rahisi MR SLIM asingekuwa hadi Sasa.....
Mungu amrehemu Marehemu mama ASHA BAKARI aaamin...alisema nchi haitoki kwa makaratasi [emoji1787]
MNAPOPAMBANA NA WENYE NGUVU ZA M
KIUTAWALA MSITAKE HURUMA KWETU ,KATU HATUTOLIA KAMA HAJI MANARA KWA MASHABIKI WA SIMBA!
#KaziIendelee
#NchiKwanza
#AmaniKwanza
Keyboard warrior nyumbu.comKuanzia balozi mpaka Mwenyekiti wa kijani ngazi zote tukikunusa una vinasaba vya kijani kichwa chako halali yet
Ndio nimesema mnachelewa, sukuma Gang toeni ushahidi hata kuanzia j3 na kufikia j5 anyongwe hapo uwanja wa Mkapa saa 6 mchana. Uzuri hata mahakimu mnawapanga nyie nyie sukuma Gang. Na safari hii hakuna anayemuwekea dhamana wala kumfuatilia huko mahakamani. Kwahiyo ameachiwa goli wazi, wekeni ushahidi wowote muutakao, mkiona hautoshi wekeni na makosa aliyowahi kufanya baba yake, na ndugu zake wote ili ushahidi unoge zaidi. Ila kwa sasa tunawachora tu.Ugaidi aliofanya watu waliona na wapo tayari kumkaanga mahakamani.
Nakukumbusha kuwa hukumu ya gaidi ni kunyongwa.