Hayawi hayawi sasa yamekua, waswahili wanasema mchelea mwana kulia hulia mwenyewe....!
Kuna watu wapo tayari kuisaidia serikali kuhusu ugaidi wa mbowe. Wapo tayari kuisaidia serikali kuondoa magaidi yote nchini, nchi ibaki na amani...
Watu wengi wameonyesha kuwa tayari na hii inatokana na pengine mambo yake alikuwa akifanya akijua watu wanapenda kupenda kuna wazalendo wa nchi walikuwa wanamuangalia tu.
Huku mtaani nilipo kila mtu anashukuru serikali kwa hatua imazochukua kupambana na magaidi na pia wanasema nao wapo tayari kutoa ushahidi endapo serikali itahitaji.
Kwa kifupi ni kuwa safari hii hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe.
Pia nitoe rai kwa watu wengine kama pia Wana ushahidi wamiminike zaidi kwenda kutoa ushahidi.
Ugaidi ni mbaya, ugaidi ni laana dunia nzima Hadi nchi zilizoendelea zinapiga vita ugaidi, hivyo yatupasa hapa kwetu pia kuunganaa na serikali kiyaapiga vita magaidi yote yaliyojificha kwenye kivuli cha siasa.
Pia niwaombe serikali hakuna kuonea huruma gaidi yoyote yule, serikali inapaswa kuwashughulikia ipasavyo.