Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali


Serikali ya Samia kama ya dhwalimu mwenzake anaendelea na kesi za kubambikiza.

Walisema madaraka hulevya.

Waliokuwa wameona umuhimu wa mihimili 3 huru hawakuwa wajinga na ndiyo maana tuko tayari mtuuwe tukiidai katiba mpya.

Aibu kwenu sana Simoni Siro na kwako Suluhu Hasani.


Udhwalimu haujawahi kuishinda haki.

Pumzika kwa amani Mwalimu Nyerere.
 
Sad option ikawa hamna sasa
Ulifutiwa KESI zako....

Ukalipwa FEDHA zako....

Bado tu....

We umo tu ....

Tena "umo" kwa vitu visivyo msingi...

Badala ya KULIJENGA TAIFA ,NA KUWAACHA VIJANA WALIJENGE TAIFA na kuwa na uchumi bora ndani ya femili zao Kama ULIVYO WEWE...kinyume chake UNAWAHAMASISHA WAFANYE FUJO NA KUPELEKEA NCHI KUKOSA UTULIVU.....

#KaziIendelee
#NchiKwanzaSiasaBaadae
 
hahahahahaha, jumuiya ya kimataifa na nchi wafadhili...wale wenzenu wapo kwa ajili ya maslahi yao wakihakikishiwa maslahi yao wanaweza hata kumuweka Mbowe kwenye kundi la Alqaeda na kushirikiana na hao hao CCM.....waulizeni wenzenu Muslim brotherhood baada El sis kuahidi kuilinda Israel na maslahi ya USA....hahahahahahahaha huu ndio ninaouita utoto..

ushajiuliza kwanini Paka na M7 wanafia madarakani na hawaguswi?... JPM ni kwa vile tu naye alikuwa jeuri mpaka kwenye maslahi yao japo ilikuwa 50/50....eti jumuiya ya kimataifa komaeni kudai mnachohitaji....
Waache wasubiri jumuiya za kimataifa
 
Kwa kazi hii aliyoianza Samia atakapoanza kutengwa kimataifa na kunyimwa misaada na nchi mbalimbali ataweza kuhimili vishindo vyake kama Magufuli alivyokuwa anafanya mambo yanapokuwa Magumu alikuwa anaingia mitaani na silaha za kivita kunyang'anya kodi kama jambazi? .
Atengwe Kisa Mbowe na wapuuzi wake au? Pole Sana
 
Unaandika upuuzi MTUPU.
Kama mnajua kwamba wako kwa ajili ya maslahi yao iweje tena mpitishe bakuli la matonya? Na wanapogoma kutoa mnaanza kulia lia!? Serikali ya kipuuzi hata vyoo mashuleni wanangoja nchi za wafadhili wakati huo huo wanajisifu na V8!!!

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amesema nchi inapita kwenye kipindi kigumu kutokana na wafadhili kupunguza misaada.
Lipa tozo mkuu ndio njia ya kujikwamua
 
Screenshot_2021-07-22-21-44-20.jpg
 
Vipi kuhusu kumnyoa na wembe ule ule???

Au zile zilikuwa bangi tu??
Mdude Nyagali kweli sakala....

Yaani hivihivi uipokonye CCM ule wimbo wa hayati Komredi John Komba ?!!

"Wembe wembe ,wembe ni uleule Ushindi,wembe ni uleule UMOJA"

#KidumuCCM
#SiempreSSH👍
 
Back
Top Bottom