Unaandika kua HAKUPIGWA risasi,halafu unasndika pia aliyempiga ni Bashite,Lissu angekua siyo mpinzani halisi,asingemiminiwa zile risasi,ilikua ni suala la kumpigia simu tu,anapangwa hiki ongea hiki usiongee.Lissu angepigwa risasi angekuwa keshakufa kitambo na wale waliompiga wangekuwa unknown killers.
Habari iliyopo ni Bashite ndiye alimtwanga risasi Lissu, Bashite huyo huyo ni nyoka wa mjwere...
Bahati mbaya kwako hujui kuwa Lissu na Mbowe wote ni mapandikizi ya mkwere.
Ninapokuambia kuwa hakuna upinzani bongo jiongeze kuelewa.
Maneno meeengi, hivi ccm utajengaje unit na watu wanyonyaji na wezi?Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.
Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.
Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi
=======================================
- Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
- Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F
Wapumbavu hawatakuelewaUnaandika kua HAKUPIGWA risasi,halafu unasndika pia aliyempiga ni Bashite,Lissu angekua siyo mpinzani halisi,asingemiminiwa zile risasi,ilikua ni suala la kumpigia simu tu,anapangwa hiki ongea hiki usiongee.
Mi hawezi akajitokeza mtu akasema hakuna mpinzani wa kweli nchini,ilhlali Lissu nimemjua na movements zake,tokea zamani,akiwa mzima wa mwili hadi sasa ambapo kawa mlemavu wa iudumu.
Si anagombea then ashindwe? auHii ilikuwa ni press conference ya maridhiano au msimamo wake kuhusu kugombea ?
Kama hataachia basi ni mamlukiLeo ndio tutajua Mbowe ni mpinzani wa kweli au mamluki,
CHADEMA lazima ipasuke lazima,
Mkuu shida ni kwamba tuko tiyal kwa kuingia mtaani? Wabongo ni waoga sana linapo kija swala la mapambano, juzi kati Mbowe si aliandamana yeye na Binti wake na Mke wake?Kwa haya anayoongea huyu anaweza kuwa siyo Mbowe hebu mpekueni vizuri
Wewe ulikuwa Una muona akiwa huko gerezani !?Pandikizi la Tiss ndo ateseke vile kwa kukaa magerezani na kuitwa Gaidi? Sema labda kuna negotiations anafanya na system mkono uende kinywani ila kuitumikia system bila makubaliano hawezi
Tayari ana 80% ya kura kabla ya kutangaza kuwa anagombea 🐼Si anagombea then ashindwe? au
Si ndio aondoke sasa aachie wengineMkuu shida ni kwamba tuko tiyal kwa kuingia mtaani? Wabongo ni waoga sana linapo kija swala la mapambano, juzi kati Mbowe si aliandamana yeye na Binti wake na Mke wake?