Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimesikia tukio la Mbowe kuwaita waandishi wa habari leo wabongo hawajaliacha lipite bure pasipo faida, kuna watu wameweka mzigo wengine waka bet kwamba Mbowe atagombea, wengine wakisema hatagombea.
Watu wamekunja nne wakisubiri matokeo iliwajue kama mkeka ume tick au umechanika
 
Lissu angepigwa risasi angekuwa keshakufa kitambo na wale waliompiga wangekuwa unknown killers.
Habari iliyopo ni Bashite ndiye alimtwanga risasi Lissu, Bashite huyo huyo ni nyoka wa mjwere...

Bahati mbaya kwako hujui kuwa Lissu na Mbowe wote ni mapandikizi ya mkwere.

Ninapokuambia kuwa hakuna upinzani bongo jiongeze kuelewa.
Unaandika kua HAKUPIGWA risasi,halafu unasndika pia aliyempiga ni Bashite,Lissu angekua siyo mpinzani halisi,asingemiminiwa zile risasi,ilikua ni suala la kumpigia simu tu,anapangwa hiki ongea hiki usiongee.
Mi hawezi akajitokeza mtu akasema hakuna mpinzani wa kweli nchini,ilhlali Lissu nimemjua na movements zake,tokea zamani,akiwa mzima wa mwili hadi sasa ambapo kawa mlemavu wa iudumu.
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

  • Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
  • Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu


View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

Maneno meeengi, hivi ccm utajengaje unit na watu wanyonyaji na wezi?
 
Unaandika kua HAKUPIGWA risasi,halafu unasndika pia aliyempiga ni Bashite,Lissu angekua siyo mpinzani halisi,asingemiminiwa zile risasi,ilikua ni suala la kumpigia simu tu,anapangwa hiki ongea hiki usiongee.
Mi hawezi akajitokeza mtu akasema hakuna mpinzani wa kweli nchini,ilhlali Lissu nimemjua na movements zake,tokea zamani,akiwa mzima wa mwili hadi sasa ambapo kawa mlemavu wa iudumu.
Wapumbavu hawatakuelewa
 
Back
Top Bottom