Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu anashinda mchana, mnaogopa
 
Ukifikiria hoja zinazojengwa na FAM kwenye press pamoja na Wenje ktk interview yake jana nyingi si za kukijenga Chama Chao bali zinalenga kumwangusha TAL ktk uwanja wa siasa. Wemeruhusu DIVIDE & RULE tactic kukidhoofisha chama Chao.
Ulitaka waseme uongo.Aliyeanza kuropoka humlaumu unawalaumu wanaotukanwa?Lisu ni muongo,mzushi na it is time sasa ajibiwe ili wanachadema na watanzania kwa ujumla wajue ukweli.
 
"Nipo,nitakuwepo na anayetaka kugombea tukutane kwa box"Ila sasa box hizi zisiwe za waenguaji na wajaza mabox kabla ya wakati kama kule kwa jirani mwovu.
 
Kwenye hotuba yake Mbowe kasisitiza ya kwamba Wenyeviti wa CHADEMA waliotangulia walistaafu wakiwa na miaka 68 kwa Mtei na 67 kwa Makani. Hivyo yeye bado anamiaka mitano afikishe 68.

Najiuliza swali je, ni kwamba yeye anatumika umri wa miaka 68 kama kigezo cha kugombea uenyekiti au anagombea uenyekiti maana ana mzigo wa kukitumikia chama Cha CHADEMA.
 
Wakati Chacha Wangwe anataka kugombea uenyekiti.Lissu hakuwa Chadema? ILIKUWA MWAKA 2008.Ninakumbuka Lissu alimlalamikia sana Chacha Wangwe hadi kusema kamsaidia case nyingi mno.I wish niupate ule uzi niuperuzi.Lissu alikuwa upande wa Mbowe .
Labda hapa twende sawa, Mbowe ndio alimtuma Lisu kwenda kumtetea Chacha Wangwe ambaye alikuwa ni diwani wa Tarime na alikuwa amebambikwa kesi nyingi lakini Mbowe kipindi hicho alidhani Lisu ni Chadema kumbe Lisu ni mwanachama wa Nccr Mageuzi.

Kwahiyo hizo kesi za Chacha Wangwe ndio zilimfanya Mbowe kuongea na Lisu amtetee Chavha Wangwe pamoja na wananchi, kwahiyo link ya Chacha Wangwe kuwa Karibu na Lisu link ni Mbowe.

Nimeona niweke record sawa.
 
Hivyo kwenye lile sakata 2008 Lissu alikuwa mwanasheria wa CHADEMA. Believe me ninakumbuka kabisa Lissu kusema kamtetea sana Wangwe.Na anashangaa Wangwe kutaka kumwaga mbonga.
 
Ashazoe kuohngqa wale wahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…