Hiyo ndio tabia ya cdm siku zote na Mbowe kwa ujumla, Lisu pekee ndio huwa anajali muda. Tunaposema Mbowe ni muda wa kuachia nafasi ya uenyekiti ni sasa, ni pamoja na yeye kutoheshimu muda.Shida yake uwa aongei on time, anadhani watu wote duniani tuna muda wakumsubiri yeye hatuna shughuli nyingine.
Yaani ahadi saa tano, inakwenda saa sita na nusu, utadhani anatulipia bando; hovyo kweli.
Cannabis!Nimemuona Wenje yupo ana randaranda hapa nyumbani kwa mwenyekiti nafikiri mnaelewa tunapoelekea🐼
Vijana wa mangi 😂😂😂Ngoja Erythrocyte na Retired Waje wakujibu mkuu sema jamaa ni mrafi wa madaraka.
1. Anatonge mdomoniMbowe aliahidi mkutano saa Tano ila mpaka Sasa hivi ni bila bila.
Kaka ni confirmed hatogombea?Bye bye Mbowe na Asante kwa Kazi nzuri
2025 jimbo la Bukoba Mjini nakuja hapo
Mbowe mitano tena.
Jamani, acheni maneno ya kashfa dhidi ya Mbowe, wakati mpaka sasa, hajatamka lolote, japo kauli yake ya awali ilikuwa wazi kabisa, kuwa hatagombea tena.Atagombea Hili lichaga n lilafi na libinafsi mno.
Umekula Sana miaka 20 inatosha waachie na wengine.
Kaka ni confirmed hatogombea?