Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaikimbia hiyo press. Itakuwa anataka kuasi chama huyu Mbowe. Anaenda kujiunga ACTNaunga mkono hoja!
Huwa hayupo on time, sijajua shida yake ni nini!?
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.
Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.
Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi,
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F
Yes nakubaliana na weweAsigombee ili alinde heshima yake, vinginevyo ataangukia kwenye mkondo wa Cheyo na Mrema
Mbowe hapa chumbano analia, machozi hayakatiki. Sasa tutamtoaje?Jamani mtoeni Mbowe chumbani, mwambieni tunamsubiria huku nje tujue kama tunanyoa au kusuka. Muda Siyo rafiki
Mbatia mfumo uliamuwa kumtapika nafikiliUmemsahau mbatia
Mke wangu yuko jikoni anawaandalia vitafunwa, hivyo msihofu vijana wangu. Alisikika Mbowe.Mbowe sasa hivi ni saa sita na nusu kwa saa za Afrika mashariki.
Ulisema saa tano utaongea hawa waandishi na wahariri wa vyombo vya habari umewakalisha hapo kwako utawapikia?
Huyo hapo ni Yericko Nyerere
Mke wake kagoma kumpa funguo za kabati la nguo baada ya kumdokeza kuwa anaenda kutangaza kuwa hatogombea uenyekiti.Kamanda bado yuko ndani anasingwa
Sidhani Bw. Sexless!Kaikimbia hiyo press. Itakuwa anataka kuasi chama huyu Mbowe. Anaenda kujiunga ACT