Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ina Mbowe yamepiga chenga ya mwili manjangu yote ya chama na serikali na hata wanachadema wote kiasi kwamba hakuna anayejua msimamo wake hadi atamke mbele ya waandishi wa habari?

Thumbs up to ya Mr. FA Mbowe kwa usiri. Jitokeze sasa mzee maana huku nchi nzima inangoja tamko lako. Wanaccm hatulali siku ya 3 tangu juzi.
 
Uenyekiti amwachie lema tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…