kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Kuna mabishano yeye anataka kujiondoa ,ila balile na wenzake wanamwambia wewe gombea sisi tutakulinda na polisi yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja Erythrocyte na Retired Waje wakujibu mkuu sema jamaa ni mrafi wa madaraka.
😄😄😄😄😄😄Mbowe hapa chumbano analia, machozi hayakatiki. Sasa tutamtoaje?
ile ni kama bet hapo watu wanapandiliana dau bado!, mwenye nyingi ndo mshindi!.
Kuna ubishano kidogo na mabosi wake
Kama hajali muda, anathubutu vipi kutaka kushindana na mtu anayejali muda?Mbowe aliahidi mkutano saa Tano ila mpaka Sasa hivi ni bila bila.
😂😂😂😂 kumbe odd zina chezeshwa
Mbowe ni kiongozi sahihi wa chama rafiki CHADEMA
Inaonyesha mabishano makali yanaendelea.
Mzee Mtei naye lazima aweke neno.
Ukishaona TBC, Clouds tv, Channel ten na Ayo TV wako mubashara lazima utamjua Boss wake 😄Mabosi wake akina nani.
Akitowa msimamo wa kugombea ndio tutajuwa kuwa wale wabunge 19 wana baraka zake zote na kweli zile pesa za mtoto wa Rais wetu alizikulaAtoe msimamo
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.
Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.
Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi,
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F