Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
.........Ila hata mimi ningekuwa FAM nisingetoka kirahisirahisi, Kuwa mwenyekiti kunampa madeal kibao ya vibunda bado anazipiga sana nyapu za mabint wanaotaka uongozi au ubunge viti maalumu mwacheni ale raha.
 
.........Ila hata mimi ningekuwa FAM nisingetoka kirahisirahisi, Kuwa mwenyekiti kunampa madeal kibao ya vibunda bado anazipiga sana nyapu za mabint wanaotaka uongozi au ubunge viti maalumu mwacheni ale raha.
Na wewe nenda kale nyapu
 
Asante Mungu kwa kusaidia Mhe. Mbowe Freeman awe mwenyekiti wetu kwa mara nyingine. Nilikuwa na wasiwasi kama angekataa kugombea upinzani ungekufa kabisa.
I can't imagine siasa ya Tanzania bila mhe Mbowe. Ananifurahisha anavyoninyooshea chama Cha mbogamboga
Mwenyekiti wenu wa kudumu

Ova
 
Kilicho baki kunywa sumu ufe tuu boss
Siwezi kunywa sumu kwa vile nina maisha bora sana nje siasa. Sijawahi kunufaika hata kwa senti moja na siasa bali nimetoa pesa zangu kuchangia Chadema. Hivyo sana sana nimekuwa relieved. Ninachosikitika tu ni kuwa katika kilichokuwa kinaendelea kwa wiki kadhaa ndani ya Chadema CCM ndiyo imeibuka kidedea. Imekwisha .
 
UKISIKIA MTU KWAMBA ANAACHA UANACHAMA KISA MBOWE KATANGAZA KUGOMBEA JUA HUYU NI TAPELI KAMA TAPELI WENGINE ,MBOWE KATIMIZA WAJIBU WAKE ,ANAFIKILI BADO ANAFAA. HII SIO SHIDA.

NI MDA WA WAJUMBE KUAMUA MBIVU NA MBICHI KATIKA UCHAGUZI ULIO HURU ,TUME HURU ,HAKUNA CHA DANADANA , KAMPENI ZA KUNADI KILA MGOMBEA AMPENDAE KASI IONGEZEKE SASA BADALA YA KUKIMBIA VITA
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

Siku ya leo Disemba 12, 2024 Freeman Mbowe ametangaza rasmi kugombea kwa mara nyingine nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Mbowe amsema kuwa kutokana na Uchaguzi mkuu ambao unakuja si vyema kubadilisha "makamanda" na kwamba bado yupo sana kuongoza chama hicho na mara baada ya mkutano anaenda kuchaukua fomu kwenye makao makuu ya chama hicho, Mikocheni.

"Kwa kuzingatia yote haya na mengine mengi ambayo sitaki kuwachosha. Nilisema mara nyingi kuwa nilitamani kuondoka lakini siwezi kuondoka katikati ya minyukano iliyopo. Kwa hiyo CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea"



View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

Safi sana Mwamba,kwanini wanaogopa box la kura?
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

Siku ya leo Disemba 12, 2024 Freeman Mbowe ametangaza rasmi kugombea kwa mara nyingine nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Mbowe amsema kuwa kutokana na Uchaguzi mkuu ambao unakuja si vyema kubadilisha "makamanda" na kwamba bado yupo sana kuongoza chama hicho na mara baada ya mkutano anaenda kuchaukua fomu kwenye makao makuu ya chama hicho, Mikocheni.

"Kwa kuzingatia yote haya na mengine mengi ambayo sitaki kuwachosha. Nilisema mara nyingi kuwa nilitamani kuondoka lakini siwezi kuondoka katikati ya minyukano iliyopo. Kwa hiyo CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea"



View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

🥱😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom