Pre GE2025 Freeman Mbowe: Dkt. Slaa na wanaojiita Tanzania Diaspora wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TUNDU LISU anajaribu kukitoa chama kwenye ufamilia , ukanda na uchaga kuwa chama cha wote, na kinachofuata misingi ya demokrasia kama kinavyojiita lakini mbowe amepania kuendeleza ufamilia, ukanda na uchaga kwenye chama
True democracy vs political entrepreneur
 
Napata Mashaka sana na Lissu motive behind na sagaz zake.

Kuna genge la nje(wengi si wapiga kura) ambalo halimtaki mbowe ndiyo linafinance team lissu kuleta mtifuano...Lissu angefanya kampeni za kistaarabu ningemuunga mkono ila naona kabisa hana nia njema.
 
Mwamba usimchafue mtu wa watu TAL tuna mpenda na tuna muunga mkoni miguu na vichwa pia
 
Tuambie kivipi Lissu hafanyi kampeni kistaarabu?
 
Naona Kanisa lenu linamhangaikia kupachika kibaraka wake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DEhtw-SNjKQ/?igsh=MTZubHhyZnJhdDEzag==
Mbowe hata hajui kuwa ile nafasi aliyopewa na Nyerere enzi zile alipoingia JK ndio akawapa Ruge na MwanaFA

Kizazi chake alichokitengeneza kiliishia Kwa akina Sugu na kidogo akina Juma Nature

Anajiona bado wa Mjini kumbe ameisha achwa nyuma Kitambo Sana πŸ˜‚

Mwenzake Tundu Lisu anaendeleza Ulugaluga ndio sababu anapokelewa hadi Vijijini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…