Kuna clip kwenye uzi huu inasema kuna vituo 79 hewaSasa kama alimaanisha Zanzibar kwa nini amesema (Mbowe) ,, mamilioni ya wapiga kura hewa '''? Zanzibar mamilioni ya wapiga kura yanatokea wapi wakati idadi ya Wazanzibari wote haifiki milioni1.5?
Uchaguzi upo palepale.Tulia mzee dawa iingie vizuri.“Kuna uvurugwaji wa kutisha wa Daftari la wapiga kura. Mamilioni ya wapiga kura hewa & maelfu ya vituo bandia. Wapiga kura wengi wapinzani wamehamishwa vituo au kuondolewa kwa makusudi. NEC itoe maelezo & suluhisho haraka la sivyo uchaguzi huu utashindikana kuanzia hatua ya awali”. Freeman Mbowe.
“There’s massive BVR manipulation. Millions of ghost voters & polling stations; misplaced & or missing of “chosen” legitimate voters! NEC must come out with explanation & mitigating strategy. Anything short will electrify this country and render the election impossible ab-initio”. Freeman Mbowe.
Hii ni kauli ya Mwenyekiti wa chama baada ya ukimya wa muda mrefu, naona kazi yenyewe karibu inaanza.
Usiwadanganye wenzio wakadharau kiingereza maana wasipokijua kupata ajira wasahau hata kwenye mashirika na taasisi za umma. Kiinereza ndiyo mpango mzima. Hata kama ni mjasiriamali hakikwepeki maana ukitaka kukuza mtaji wako kiingereza utakitaka tu hata kama kwa kusaidiwa na wanaokijua, tusidanganyane.wapumbavu wengi hudhani kujua english ndo kua smart kichwani
Mngejibu hizi hoja zao maana inavyoonekana October haitafika au itafika haitaisha. Wekeni fair play. Kwani fair play shs ngapiHuu uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Hunatofauti na yule anayejichoma dole kisha nakujinusa.Mpaka sasa ubao wa matangazo unasoma iv View attachment 1609336
Mbowe anawewesekaKuna uvurugwaji wa kutisha wa Daftari la wapiga kura. Mamilioni ya wapiga kura hewa & maelfu ya vituo bandia. Wapiga kura wengi wapinzani wamehamishwa vituo au kuondolewa kwa makusudi. NEC itoe maelezo & suluhisho haraka la sivyo uchaguzi huu utashindikana kuanzia hatua ya awali”. Freeman Mbowe.
Tulisema toka mwanzo kuwa hakuna uwezekano wa kuwa na wapiga kura 29m+.Nadhani kidd2014 anawapoteza, Ndio anaye waambia hayo Mambo ilimradi waharibu Uchaguzi
Mbowe anaweweseka
Wakati daftari lilipowekwa wazi chadema waliwatangazia wafuasi wao wasusie,ilipofika siku mbili kabla muda kwisha ,chadema wakabadili gia angani na kuwataka wafuasi wao wakajiandikishe
Hapo tu,tayari chadema walikua wameshashindwa uchaguzi
Mbowe anatafuta visingizio,daftari lipo wazi inajulikana idadi kamili,yeye ayatoe hayo mamilioni ya wapiga kura hewa tuweze kuyahakiki,Mbowe aache kuhadaa wafuasi wake
Ndugu yangu,
Nyie ndio wenye serikali mbona ilikuwa ni ishu ndogo tu kufuta vyama v
Fikiria Mawakala hewa, na wamekubalika. Ukitaka kuhoji unaambiwa unasababisha fujo. Vipi linawezekana au haliwezekani. Nami nafikiria bado.Matokeo lazima yasainiwe na wakala sasa hivi vituo hewa mawakala wa chadema watapatikanaje?
Mnarudi kuichagua ccm wewe na nani tumia neno narudi sio tunarudiMbowe acha kuweweseka sisi Watanzania tumewachoka Chadema hatuwataki
Majimbo tuliwachagua mmetuchelewesha maendeleo, tunarudi kuichagua Ccm wanaotujali
Kigogo anawapoteza hiki ni nini ? Muwe na aibuNadhani kidd2014 anawapoteza, Ndio anaye waambia hayo Mambo ilimradi waharibu Uchaguzi
tunaelekea kuzr sana ķuliko tulipotoka... isipokuwa kila jambo na tukio huwa halirud nyuma.Kwa hivyo ndiye anayewaambia na wasimamizi wafanye figusi za kuwaapisha mawakala? Ndiye aliwaambia NEC kuengua wagombea wa upinzani wa udiwani na ubunge?
Ukiunganisha vituko vya NEC utaelewa kuwa ni mkakati uliosukwa ili bwana dik uchwara aonekane ameshinda kwa kishindo, na hatimaye aje atawazwe mfalme. Tz inaelekea kubaya sana - si kesho lakini keshokutwa
Amen mnaonufaka na hii nchi nimewachoka 28 nawakataa kwenye ballotTz inaangamizwa na kikundi cha waovu wachache, lakini siku zao zaja.