Lissu,Mbowe na Mnyika ,Lissu,Mbowe na Mnyika ,Lissu,Mbowe na Mnyika nimewaita mara tatu!!
Itisheni Press conference haraka sana kuhabarisha umma uhuni tume ya uchaguzi,tiss na maded wa ccm wanvyofanya kuvuruga uchaguzi ,waambie kabisa uhuni wao hautavumilika,no more vituo feki no more wakiga kura feki.
Chadema mmtumia resource zenu zote kuwafikia wananchi TZ nzima ,lengo ni kuwafikia wapiga kura wengi na ni kweli mmewafikia na wamewaunga mkono ,kilichobaki ni kulinda kura zao/zetu!!
Wizi unafanyika kwenye vituo hewa na wapiga kura hewa na kuweka mawakala wao huku wakifanya kama wapinzani!!
Zitto kashawaambia kwamba uhuni wao kigoma mjini hawawezi kufanya ,Zitto kashagundua wapiga kura feki 13K kutoka JKT na wanafunzi,Kawaambia live TISS wasijaribu.
ZEC ndio madudu tupu ,wapiga ,Mwambie Maalim akaze asikubali kupiga kura tar 28 ,Mchezo unaisha tar 27......Tar 27 wapige kura watu wote hakuna kupiga kura mara mbili ,bara watu mil 29k(Including hewa) wanapiga siku moja ,iweje wapiga kura 500k(including hewa) wapige kwa siku mbili? Maalim Maalim maalim nimekuita mara tatu ,pigeni kura tar 27 ,mkikubali kupiga kura tar 27 na 28 basi mmeuimia.