Pre GE2025 Freeman Mbowe kuona ni kuamini, achana na siasa za mkia wa mbuzi, jeuri na kiburi sio mtaji kuelekea uchaguzi 2024/2025

Pre GE2025 Freeman Mbowe kuona ni kuamini, achana na siasa za mkia wa mbuzi, jeuri na kiburi sio mtaji kuelekea uchaguzi 2024/2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na;
Hamis Abeid Baruani
UDASA, UDSM.

Kwa masikitiko makubwa leo Mhe. Mbowe ameushangaza umma kwa kuongea mambo mawili ambayo hadi sasa yamepingwa kila kona ya nchi.

1. Katangaza kususia maridhiano
2. Kaitisha anayoyaita maandamano ya amani.

a) Mhe. Mbowe kabla ya kususia MARIDHIANO unakumbuka lakini majuzi tu 31.12.2023 pale Hai wakati unaongoza Harambee ya kumalizia ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Usharika wa NSHARA MACHAME, Rais Dkt. Samia alichangia Tsh Milioni 150, haya yakiwa ni matunda ya MARIDHIANO ya kisiasa hapa nchini.

b) Mnakumbuka CDM mlikuwa na ziara pamoja na mikutano mikoa mbalimbali na mkafanya kwa amani hakuna mtu alienyooshewa kidole hata mmoja inamaana mmesahau kama hayo ni matunda ya MARIDHIANO

c) Maridhiano haya unayotaka kuyakataa hukumbuki kuwa ndio yamefanya viongozi wa CDM waliokuwa nje ya nchi kurejea nchini kufanya siasa kwa amani bila wasiwasi

d) Hujiulizi hata tukio la leo limefanyika vizuri kwa amani na umepewa ushirikiano wa namna zote kwenye vyombo vya habari kwasababu ya matunda ya MARIDHIANO yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia

e) Hata umuhimu wa RUZUKU ambao pengine umepelekea kuhamisha Ofisi toka Kinondoni kwenda Mikocheni nao huoni kama ni matunda ya MARIDHIANO

Tujifunze kuwa waungwana tunapofanyiwa uungwana.

Wakati unafikiria kuandamanisha watu kumbuka wananchi wa sasa sio wa miaka ile, wananchi wanaona mambo makubwa yanayofanywa na Serikali yao, wanaona jitihada za Rais Samia kuwapigania. Ngoja niwakumbushe kidogo:-

1. Januari za miaka ya nyuma Wazazi walikuwa wanateseka kwa michango ya ujenzi wa madarasa na kununua madawati ila sasahivi hakuna mzazi hata mmoja nchini anaesumbuliwa na michango hii, Rais Samia kajenga madarasa mengi nchi nzima lakini pia Serikali kila mwezi inatoa takribani Bilioni 33.3 kugharamia elimu kwa wanafunzi wa ngazi ya awali, msingi na sekondari.

2. Rais Samia amesambaza Vifaa vya Afya Majimbo yote nchini kama ifuatavyo kwa ujumla
a) Vitanda vya wagonjwa 3080
b) Vitanda vya kujifungulia 1000
c) Magodoro 5500
d) Mashuka 36,808
e) Meza za Vitanda 306
f) Pia kasambaza magari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) kila kona

Hii inaonesha namna gani ana huruma na wananchi na anajali afya zetu.

3. Takribani asilimia 95% ya Madai ya Watumishi yamefanyiwa kazi ndani ya muda mfupi. (Ulipaji madeni, Ongezeko la Posho, Mikataba ya hali bora, Ajira mpya, Mazingira bora ya Kazi).

4. Wakati wananchi wanajiuliza michango yao mliochangisha CDM kuipeleka Hanang haijulikani imeenda wapi na hakuna jibu kuwa mlikusanya shilingi ngapi,

Rais Samia ametenga ekari 100 kwaajili ya makazi mapya ya wahanga wa Hanang, lakini Serikali itawajengea nyumba 101 ambazo kila moja itakuwa na vyumba vitatu na eneo litawekewa huduma zote za kijamii.

5. Kwa muda mfupi mno wa Rais Samia kuwa madarakani sasahivi kati ya Vijiji 10, Vijiji 9 vina umeme, hii ni hatua kubwa mno.

Hawa wana vijiji huwezi ukawaambia habari za kuandamana wakakuelewa.

6. Ndani ya muda mfupi tu Waalimu takribani 227,263 wamepandishwa madaraja na wanaendelea kuchapa kazi, hawa wataandamana kushukuru na kumpongeza Rais Dkt. Samia.

7. Kwenye kuongeza mapato makubwa hivi karibuni Serikali inatatajia kuanza kuchimba MAKAA YA MAWE katika mradi wa MCHUCHUMA, Tani karibia 315,000 zitachimbwa.

8. Wakulima wanafurahia Ruzuku kwenye Pembejeo za Kilimo ambazo zimefanya hali ya kilimo kuwa vizuri.

9. Ndani ya muda mfupi fedha za kigeni zimeongezeka baada ya kuongeza biashara nje ya nchi.

Mauzo ya bidhaa na huduma nje ya nchi yameongezeka kwa asilimia 17.8
  • Novemba 2022 tuliuza Trilioni 29.8
  • Novemba 2023 tuliuza Trilioni 35.1

Mfano; Desemba 2022 hadi Desemba 2023 tumeuza NYAMA Tani 20,500 nje ya nchi, takribani mara mbili ya mauzo ya mwaka uliopita.

Hii inaonyesha ni namna gani Serikali inapambana kuleta maendeleo.

10. Miradi ya Maji nchi nzima inaendelea ili lengo la kumtua Mama Ndoo Kichwani litimie, mfano kwa Wilaya ya Ubungo kuna Miradi mikubwa miwili a) Tegeta A na b) Mshikamano
Ambayo itamaliza kabisa tatizo la maji.

Hawa wananchi hawahitaji maandamano bali wanahitaji kutoa pongezi kwa kazi kubwa inayofanywa.

Ni mengi yaliyofanyika na yote yana lengo la kumfaidisha Mwananchi ili aendelee kuwa na imani na Serikali yake.

Tusikubali kuyumbishwa na SIASA ZA MKIA WA MBUZI.

Kila Chama kijipange tukutane kwenye DEBE muda ukifika.

Ahsanteni.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unapoandika pia uwe na utafiti wa ndani zaidi sio waliyoandika magazetini.
Namba 1 na 2 bado hauko Sawa.
Mimi mwanangu amerudishwa shule kisa natakiwa kuchangia laki 4! Shule ya kwenda na kurudi!

Hapo 2 kwenye na vituo afya tembelea ndani viko vituo vya afya ni changamoto ya ajabu! Huduma na majengo chakavu hata friji la kuhifadhia dawa hamna.

Ukitizama kiti anachokalia DR.
Utalia.

Shule ya msingi niliyosoma Moshi vijijini ziko nyingi (sitaitaja). Ina Hali mbaya Choo kimeandaliwa pesa ya kumalizia hamna kiko wanasubiria muujiza.
Ni maliwato ya mgawo wanaume na waK. Hamna mlango, plastic, siling, sink na hata kuchimba zile chamber imeshindikana hamna hela waliyoahidiwana Serikali!

Kuna majanga. Waavhe waandamane tu maadam ni ya AMANI tutajua. Ni Haki ya kikatiba pia.
Nitajie jina la shule.
 
Na;
Hamis Abeid Baruani
UDASA, UDSM.

Kwa masikitiko makubwa leo Mhe. Mbowe ameushangaza umma kwa kuongea mambo mawili ambayo hadi sasa yamepingwa kila kona ya nchi.

1. Katangaza kususia maridhiano
2. Kaitisha anayoyaita maandamano ya amani.

a) Mhe. Mbowe kabla ya kususia MARIDHIANO unakumbuka lakini majuzi tu 31.12.2023 pale Hai wakati unaongoza Harambee ya kumalizia ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Usharika wa NSHARA MACHAME, Rais Dkt. Samia alichangia Tsh Milioni 150, haya yakiwa ni matunda ya MARIDHIANO ya kisiasa hapa nchini.

b) Mnakumbuka CDM mlikuwa na ziara pamoja na mikutano mikoa mbalimbali na mkafanya kwa amani hakuna mtu alienyooshewa kidole hata mmoja inamaana mmesahau kama hayo ni matunda ya MARIDHIANO

c) Maridhiano haya unayotaka kuyakataa hukumbuki kuwa ndio yamefanya viongozi wa CDM waliokuwa nje ya nchi kurejea nchini kufanya siasa kwa amani bila wasiwasi

d) Hujiulizi hata tukio la leo limefanyika vizuri kwa amani na umepewa ushirikiano wa namna zote kwenye vyombo vya habari kwasababu ya matunda ya MARIDHIANO yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia

e) Hata umuhimu wa RUZUKU ambao pengine umepelekea kuhamisha Ofisi toka Kinondoni kwenda Mikocheni nao huoni kama ni matunda ya MARIDHIANO

Tujifunze kuwa waungwana tunapofanyiwa uungwana.

Wakati unafikiria kuandamanisha watu kumbuka wananchi wa sasa sio wa miaka ile, wananchi wanaona mambo makubwa yanayofanywa na Serikali yao, wanaona jitihada za Rais Samia kuwapigania. Ngoja niwakumbushe kidogo:-

1. Januari za miaka ya nyuma Wazazi walikuwa wanateseka kwa michango ya ujenzi wa madarasa na kununua madawati ila sasahivi hakuna mzazi hata mmoja nchini anaesumbuliwa na michango hii, Rais Samia kajenga madarasa mengi nchi nzima lakini pia Serikali kila mwezi inatoa takribani Bilioni 33.3 kugharamia elimu kwa wanafunzi wa ngazi ya awali, msingi na sekondari.

2. Rais Samia amesambaza Vifaa vya Afya Majimbo yote nchini kama ifuatavyo kwa ujumla
a) Vitanda vya wagonjwa 3080
b) Vitanda vya kujifungulia 1000
c) Magodoro 5500
d) Mashuka 36,808
e) Meza za Vitanda 306
f) Pia kasambaza magari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) kila kona

Hii inaonesha namna gani ana huruma na wananchi na anajali afya zetu.

3. Takribani asilimia 95% ya Madai ya Watumishi yamefanyiwa kazi ndani ya muda mfupi. (Ulipaji madeni, Ongezeko la Posho, Mikataba ya hali bora, Ajira mpya, Mazingira bora ya Kazi).

4. Wakati wananchi wanajiuliza michango yao mliochangisha CDM kuipeleka Hanang haijulikani imeenda wapi na hakuna jibu kuwa mlikusanya shilingi ngapi,

Rais Samia ametenga ekari 100 kwaajili ya makazi mapya ya wahanga wa Hanang, lakini Serikali itawajengea nyumba 101 ambazo kila moja itakuwa na vyumba vitatu na eneo litawekewa huduma zote za kijamii.

5. Kwa muda mfupi mno wa Rais Samia kuwa madarakani sasahivi kati ya Vijiji 10, Vijiji 9 vina umeme, hii ni hatua kubwa mno.

Hawa wana vijiji huwezi ukawaambia habari za kuandamana wakakuelewa.

6. Ndani ya muda mfupi tu Waalimu takribani 227,263 wamepandishwa madaraja na wanaendelea kuchapa kazi, hawa wataandamana kushukuru na kumpongeza Rais Dkt. Samia.

7. Kwenye kuongeza mapato makubwa hivi karibuni Serikali inatatajia kuanza kuchimba MAKAA YA MAWE katika mradi wa MCHUCHUMA, Tani karibia 315,000 zitachimbwa.

8. Wakulima wanafurahia Ruzuku kwenye Pembejeo za Kilimo ambazo zimefanya hali ya kilimo kuwa vizuri.

9. Ndani ya muda mfupi fedha za kigeni zimeongezeka baada ya kuongeza biashara nje ya nchi.

Mauzo ya bidhaa na huduma nje ya nchi yameongezeka kwa asilimia 17.8
  • Novemba 2022 tuliuza Trilioni 29.8
  • Novemba 2023 tuliuza Trilioni 35.1

Mfano; Desemba 2022 hadi Desemba 2023 tumeuza NYAMA Tani 20,500 nje ya nchi, takribani mara mbili ya mauzo ya mwaka uliopita.

Hii inaonyesha ni namna gani Serikali inapambana kuleta maendeleo.

10. Miradi ya Maji nchi nzima inaendelea ili lengo la kumtua Mama Ndoo Kichwani litimie, mfano kwa Wilaya ya Ubungo kuna Miradi mikubwa miwili a) Tegeta A na b) Mshikamano
Ambayo itamaliza kabisa tatizo la maji.

Hawa wananchi hawahitaji maandamano bali wanahitaji kutoa pongezi kwa kazi kubwa inayofanywa.

Ni mengi yaliyofanyika na yote yana lengo la kumfaidisha Mwananchi ili aendelee kuwa na imani na Serikali yake.

Tusikubali kuyumbishwa na SIASA ZA MKIA WA MBUZI.

Kila Chama kijipange tukutane kwenye DEBE muda ukifika.

Ahsanteni.
Mtoa mada hujitambui, Uhuru wa kufanya siasa sio hisani bali ni haki ya kila mtu. Kama ccm hatutaki kuwa na vyama vingi basi tupeleke mswaada wa kuvifuta
 
Mtoa mada hujitambui, Uhuru wa kufanya siasa sio hisani bali ni haki ya kila mtu. Kama ccm hatutaki kuwa na vyama vingi basi tupeleke mswaada wa kuvifuta
Nikulize swali. Kuandamana na kuharibu miundombinu ni siasa?
 
a) Mhe. Mbowe kabla ya kususia MARIDHIANO unakumbuka lakini majuzi tu 31.12.2023 pale Hai wakati unaongoza Harambee ya kumalizia ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Usharika wa NSHARA MACHAME, Rais Dkt. Samia alichangia Tsh Milioni 150, haya yakiwa ni matunda ya MARIDHIANO ya kisiasa hapa nchini.

b) Mnakumbuka CDM mlikuwa na ziara pamoja na mikutano mikoa mbalimbali na mkafanya kwa amani hakuna mtu alienyooshewa kidole hata mmoja inamaana mmesahau kama hayo ni matunda ya MARIDHIANO

c) Maridhiano haya unayotaka kuyakataa hukumbuki kuwa ndio yamefanya viongozi wa CDM waliokuwa nje ya nchi kurejea nchini kufanya siasa kwa amani bila wasiwasi

d) Hujiulizi hata tukio la leo limefanyika vizuri kwa amani na umepewa ushirikiano wa namna zote kwenye vyombo vya habari kwasababu ya matunda ya MARIDHIANO yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia

e) Hata umuhimu wa RUZUKU ambao pengine umepelekea kuhamisha Ofisi toka Kinondoni kwenda Mikocheni nao huoni kama ni matunda ya MARIDHIANO

Tujifunze kuwa waungwana tunapofanyiwa uungwana.
Kwahiyo unatuambia ruzuku, zile 150 milioni vyote hivyo kumbe ni hongo, rushwa?
 
Sijasoma andiko lako refu lote kwa sababu halina maana kwani ni takataka tu umeandika huku ukionyesha ushabiki maandazi.

1. Rais Samia kama alichangia kanisa alifanya hivyo kama raia yeyote anavyoweza kuchangia harambee yoyote na wala hakuchangia ili atumie hiyo fursa kudhibiti wapinzani wake wa kisiasa.

2. Elewa kwamba ni haki ya vyama vya upinzani kikatiba kufanya mikutano ya kisiasa na wala sio hisani inayotolewa na serikali au rais kama wenye fikra finyu wanavyofikiria.

3. Mbowe na timu yake wana haki kabisa ya kususia hayo maridhiano kwani ccm hawana nia njema ila nia yao siku zote ni kufanya tu vyama vya upinzani vionekane wajinga kwani nia yao ni kupoteza muda ili tume huru isipatikane kwa wakati kwani siku zote wanaogopa uchaguzi wa haki kwa sababu wananchi walishachoka nao ndio maana siku zote wanachofanya ni kuhujumu uchaguzi ili waendelee kung'ang'ania madarakani.
 
Fuatilia huko Moshi vijijini na mbunge wa Vunjo utaipata bila chenga. Nadhani nimeenda mwendo!

Walioko huko mnaijua fika kama mko humu muiweke hapa.
Ninakuuliza jina la shule unaniambie nifuatilie mbunge wa vunjo. Wewe zimo kweli kichwani?
 
Na;
Hamis Abeid Baruani
UDASA, UDSM.

Kwa masikitiko makubwa leo Mbowe ameushangaza umma kwa kuongea mambo mawili ambayo hadi sasa yamepingwa kila kona ya nchi.

1. Katangaza kususia maridhiano
2. Kaitisha anayoyaita maandamano ya amani.

a) Mhe. Mbowe kabla ya kususia MARIDHIANO unakumbuka lakini majuzi tu 31.12.2023 pale Hai wakati unaongoza Harambee ya kumalizia ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Usharika wa NSHARA MACHAME, Rais Dkt. Samia alichangia Tsh Milioni 150, haya yakiwa ni matunda ya MARIDHIANO ya kisiasa hapa nchini.

b) Mnakumbuka CDM mlikuwa na ziara pamoja na mikutano mikoa mbalimbali na mkafanya kwa amani hakuna mtu alienyooshewa kidole hata mmoja inamaana mmesahau kama hayo ni matunda ya MARIDHIANO

c) Maridhiano haya unayotaka kuyakataa hukumbuki kuwa ndio yamefanya viongozi wa CDM waliokuwa nje ya nchi kurejea nchini kufanya siasa kwa amani bila wasiwasi

d) Hujiulizi hata tukio la leo limefanyika vizuri kwa amani na umepewa ushirikiano wa namna zote kwenye vyombo vya habari kwasababu ya matunda ya MARIDHIANO yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia

e) Hata umuhimu wa RUZUKU ambao pengine umepelekea kuhamisha Ofisi toka Kinondoni kwenda Mikocheni nao huoni kama ni matunda ya MARIDHIANO

Tujifunze kuwa waungwana tunapofanyiwa uungwana.

Wakati unafikiria kuandamanisha watu kumbuka wananchi wa sasa sio wa miaka ile, wananchi wanaona mambo makubwa yanayofanywa na Serikali yao, wanaona jitihada za Rais Samia kuwapigania. Ngoja niwakumbushe kidogo:-

1. Januari za miaka ya nyuma Wazazi walikuwa wanateseka kwa michango ya ujenzi wa madarasa na kununua madawati ila sasahivi hakuna mzazi hata mmoja nchini anaesumbuliwa na michango hii, Rais Samia kajenga madarasa mengi nchi nzima lakini pia Serikali kila mwezi inatoa takribani Bilioni 33.3 kugharamia elimu kwa wanafunzi wa ngazi ya awali, msingi na sekondari.

2. Rais Samia amesambaza Vifaa vya Afya Majimbo yote nchini kama ifuatavyo kwa ujumla
a) Vitanda vya wagonjwa 3080
b) Vitanda vya kujifungulia 1000
c) Magodoro 5500
d) Mashuka 36,808
e) Meza za Vitanda 306
f) Pia kasambaza magari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) kila kona

Hii inaonesha namna gani ana huruma na wananchi na anajali afya zetu.

3. Takribani asilimia 95% ya Madai ya Watumishi yamefanyiwa kazi ndani ya muda mfupi. (Ulipaji madeni, Ongezeko la Posho, Mikataba ya hali bora, Ajira mpya, Mazingira bora ya Kazi).

4. Wakati wananchi wanajiuliza michango yao mliochangisha CDM kuipeleka Hanang haijulikani imeenda wapi na hakuna jibu kuwa mlikusanya shilingi ngapi,

Rais Samia ametenga ekari 100 kwaajili ya makazi mapya ya wahanga wa Hanang, lakini Serikali itawajengea nyumba 101 ambazo kila moja itakuwa na vyumba vitatu na eneo litawekewa huduma zote za kijamii.

5. Kwa muda mfupi mno wa Rais Samia kuwa madarakani sasahivi kati ya Vijiji 10, Vijiji 9 vina umeme, hii ni hatua kubwa mno.

Hawa wana vijiji huwezi ukawaambia habari za kuandamana wakakuelewa.

6. Ndani ya muda mfupi tu Waalimu takribani 227,263 wamepandishwa madaraja na wanaendelea kuchapa kazi, hawa wataandamana kushukuru na kumpongeza Rais Dkt. Samia.

7. Kwenye kuongeza mapato makubwa hivi karibuni Serikali inatatajia kuanza kuchimba MAKAA YA MAWE katika mradi wa MCHUCHUMA, Tani karibia 315,000 zitachimbwa.

8. Wakulima wanafurahia Ruzuku kwenye Pembejeo za Kilimo ambazo zimefanya hali ya kilimo kuwa vizuri.

9. Ndani ya muda mfupi fedha za kigeni zimeongezeka baada ya kuongeza biashara nje ya nchi.

Mauzo ya bidhaa na huduma nje ya nchi yameongezeka kwa asilimia 17.8
  • Novemba 2022 tuliuza Trilioni 29.8
  • Novemba 2023 tuliuza Trilioni 35.1

Mfano; Desemba 2022 hadi Desemba 2023 tumeuza NYAMA Tani 20,500 nje ya nchi, takribani mara mbili ya mauzo ya mwaka uliopita.

Hii inaonyesha ni namna gani Serikali inapambana kuleta maendeleo.

10. Miradi ya Maji nchi nzima inaendelea ili lengo la kumtua Mama Ndoo Kichwani litimie, mfano kwa Wilaya ya Ubungo kuna Miradi mikubwa miwili a) Tegeta A na b) Mshikamano
Ambayo itamaliza kabisa tatizo la maji.

Hawa wananchi hawahitaji maandamano bali wanahitaji kutoa pongezi kwa kazi kubwa inayofanywa.

Ni mengi yaliyofanyika na yote yana lengo la kumfaidisha Mwananchi ili aendelee kuwa na imani na Serikali yake.

Tusikubali kuyumbishwa na SIASA ZA MKIA WA MBUZI.

Kila Chama kijipange tukutane kwenye DEBE muda ukifika.

Ahsanteni.
Dah! Wewe ni msomi gani wa UDASA ambaye unashindwa kujikita kwenye hoja za Chadema, na badala yake unakuja na gazeti refu kama yule kijana aliyezoeleka humu kwa jina la Lucas mwashambwa!!

Nilitegemea ungejikita zaidi kwenye kuzijibu sababu za hao Chadema kususia maridhiano, na pia kutangaza maandamano kama zina mashiko, au la!! Hayo masuala mengine uliyoaandika, sidhani kama yana msingi. Maana hayahusiani na hayo malalamiko ta Chadema.
 
Atangulie yeye na familia yake siku ya maandamano
 
Dah! Wewe ni msomi gani wa UDASA ambaye unashindwa kujikita kwenye hoja za Chadema, na badala yake unakuja na gazeti refu kama yule kijana aliyezoeleka humu kwa jina la Lucas mwashambwa!!

Nilitegemea ungejikita zaidi kwenye kuzijibu sababu za hao Chadema kususia maridhiano, na pia kutangaza maandamano kama zina mashiko, au la!! Hayo masuala mengine uliyoaandika, sidhani kama yana msingi. Maana hayahusiani na hayo malalamiko ta Chadema.
Tunawajua wazee wa kususa. Watanzania wamechoshwa na wasusaji. Kama wanawake wajawazito
 
Unajua maana ya maridhiano?
Yapi ya Samia na Mbowe? Sijui maana yake, niambie.

Maridhiano ya maana yoyote kwa Watanzania wote yataletwa na katiba mpya kuwashirikisha wadau wote. Sio watu wawili.
 
Back
Top Bottom