Wanaopiga kelele ni wanaoona keshafanya kw ufasaha wajibu na kwamba kama kiongozi mwenye hekima na kujaa busara kama dunia inavojua, anajua kwamba, uongozi wa chama chchte una mwisho, hata kama katiba inaruhusu. Ni walafi wa madaraka tu wanaotumia kisingizio cha matakwa ya katiba kutawala milele. Na wengine wa aina hio, hua wanalazimisha katiba ifanyiwe marekebisho watawale, kama kina Mugabe. Kw ss mtu wako anatukanwa kw sbb ya kuona na ku-enjoy utamu wa ofisi - imekua tamu kupita maelezo, hataki kuondoka na ana machawa/wapambe kama ninyi wanamjaza kiburi ...nk. Alishafanya yake mema, apumzike kw heshima, analo la kujivunia lkn kw jinsi alivo, anajiharibia jina, hata akishinda uchaguzi... dah,