Freeman Mbowe kusema aliokoa maisha ya Tundu Lissu ni kauli ya kufuru na ya ovyo

Freeman Mbowe kusema aliokoa maisha ya Tundu Lissu ni kauli ya kufuru na ya ovyo

Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Au ndio yeye aliyetuma vijana wa kazi wakashindwa kufanikisha lengo?/
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Shida ya mbowe Hana sera za kufanya agombee hii miaka mitano....
 
Kama kashindwa milion 30 hizo nyingine itakuwaje.Mtu kama Mbowe busara zake zinamfanya awe na marafiki wengi wanaomsapot.Shida ya Lisu ana marafiki wa mdomo na sio wa vitendo na sio marafiki wa kweli ndio maana wanamshauri awe mjeuri zaidi
..Hizo busara zimesaidia nn uchaguzi wa serikali za mitaa?
 
jamani TL c alishapona waliomuokoa ni simusimu sasa bac MWAMBA hakuhusika na chochote kwenye uokozi wa TL clazima kukubaliana na nini
 
Nlifikir mtu atende wema asepe zake na asisubir shukrani. Duniani sio Mbowe pekee alotenda wema- kina Msigwa, alietoa uxafiri, madaktari, walotoa damu zao ...nk. walshiriki kuokoa maisha ya TAL. Nlitegmea majadliano yawe "TAL kgombea ni halali xi halai?" Kama Katiba inaruhusu haya mengine yote ni kushabikia kiongozi (mtu) badala ya chama- dalili za uchawa
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu atibiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.
 
Nlifikir mtu atende wema asepe zake na asisubir shukrani. Duniani sio Mbowe pekee alotenda wema- kina Msigwa, alietoa uxafiri, madaktari, walotoa damu zao ...nk. walshiriki kuokoa maisha ya TAL. Nlitegmea majadliano yawe "TAL kgombea ni halali xi halai?" Kama Katiba inaruhusu haya mengine yote ni kushabikia kiongozi (mtu) badala ya chama- dalili za uchawa
Mimi sipingi Lissu kugombea na hata Mbowe hapingi, mtu yeyote prudent anataka katiba ya CHADEMA ifuatwe.

Mbowe anasikitika ,mtu aliyemsaidia kiasi hicho amegeuka kumkashifu, kumchafua kwa, maneno ya uongo. Lissu angeweza kugombea na kukampeni kistaarabu, mbona mwenzake Heche anagombea umakamu lakini hajamkashifu mtu.

Lissu na mashabiki wake ndio hawartaki Mbowe agombee.
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Kama wasemavyo kwenye boxing Tundu anapiga below the belt na arudishiwe hivyo hivyo.
 
Wewe ni zaidi ya kipofu.

Hujui aliyoyafanya Mbowe kumuokoa Lissu hao watu wengi walikuwa wanasaidia bila coordination na maamuzi?

Bila Mbowe kukataa Lissu angepelekwa Muhimbili na huko angemaliziwa.
Mbowe alikaa Nairobi miezi minne akimuuguza na pia akitafuta pesa toka vyanzo mbalimbali ili Lissu atibiwe.

Subiri uone Lissu wako atakavyomaliza safari yake ya kisiasa akiwa dhalili. Nyie mnaomvimbisha kichwa mkiwa katika key board hamtamsaidia lolote mpaka sasa mmeshindwa kukamilisha hata mchango wa kumnunulia gari mwaka .zima mnachangishana.

Mimi sipingi Lissu kugombea na hata Mbowe hapingi, mtu yeyote prudent anataka katiba ya CHADEMA ifuatwe.

Mbowe anasikitika ,mtu aliyemsaidia kiasi hicho amegeuka kumkashifu, kumchafua kwa, maneno ya uongo. Lissu angeweza kugombea na kukampeni kistaarabu, mbona mwenzake Heche anagombea umakamu lakini hajamkashifu mtu.

Lissu na mashabiki wake ndio hawartaki Mbowe agombee.
Kugombea kw TAL kanatakana na mtu wako kusitasita kuamua. Na katiba inaruhusu. Mambo ya kumtendea wema au kumsaidia mtu kw lolote havihusiani na katiba. Wala nafasi za vyama havihusiani na hisani wanazotoa wagombea. Ni maandiko ya kisheria na ili kuyatendea haki ni budi kufuatwa. Tusiwe kama jamii fulani wanaoamini katiba ni kijitabu tu ...nk
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Yericko.
Leo nimekukubali,kweli kusaidia mtu yoyote akiwa katika Hali mbaya sio lazima uwe kiongozi!Huo ndio inaitwa ubinadamu na ni wajibu wa kila mtu aliyopo kwenye tukio,mwenye akili timamu .
 
Kugombea kw TAL kanatakana na mtu wako kusitasita kuamua. Na katiba inaruhusu. Mambo ya kumtendea wema au kumsaidia mtu kw lolote havihusiani na katiba. Wala nafasi za vyama havihusiani na hisani wanazotoa wagombea. Ni maandiko ya kisheria na ili kuyatendea haki ni budi kufuatwa. Tusiwe kama jamii fulani wanaoamini katiba ni kijitabu tu ...nk
Sasa kama unataka katiba ifuatwe kwa nini mnapiga kelele na kulazimisha Mbowe ajitoe?
 
Sasa kama unataka katiba ifuatwe kwa nini mnapiga kelele na kulazimisha Mbowe ajitoe?
Wanaopiga kelele ni wanaoona keshafanya kw ufasaha wajibu na kwamba kama kiongozi mwenye hekima na kujaa busara kama dunia inavojua, anajua kwamba, uongozi wa chama chchte una mwisho, hata kama katiba inaruhusu. Ni walafi wa madaraka tu wanaotumia kisingizio cha matakwa ya katiba kutawala milele. Na wengine wa aina hio, hua wanalazimisha katiba ifanyiwe marekebisho watawale, kama kina Mugabe. Kw ss mtu wako anatukanwa kw sbb ya kuona na ku-enjoy utamu wa ofisi - imekua tamu kupita maelezo, hataki kuondoka na ana machawa/wapambe kama ninyi wanamjaza kiburi ...nk. Alishafanya yake mema, apumzike kw heshima, analo la kujivunia lkn kw jinsi alivo, anajiharibia jina, hata akishinda uchaguzi... dah,
 
Wanaopiga kelele ni wanaoona keshafanya kw ufasaha wajibu na kwamba kama kiongozi mwenye hekima na kujaa busara kama dunia inavojua, anajua kwamba, uongozi wa chama chchte una mwisho, hata kama katiba inaruhusu. Ni walafi wa madaraka tu wanaotumia kisingizio cha matakwa ya katiba kutawala milele. Na wengine wa aina hio, hua wanalazimisha katiba ifanyiwe marekebisho watawale, kama kina Mugabe. Kw ss mtu wako anatukanwa kw sbb ya kuona na ku-enjoy utamu wa ofisi - imekua tamu kupita maelezo, hataki kuondoka na ana machawa/wapambe kama ninyi wanamjaza kiburi ...nk. Alishafanya yake mema, apumzike kw heshima, analo la kujivunia lkn kw jinsi alivo, anajiharibia jina, hata akishinda uchaguzi... dah,
Kuna umuhimu gani wa kuwa na katiba kama haiwezi kufuatwa?

Hizo hioa kama zina mashiko kwa nin Lissu wako hakupigania ziwekwe katika katiba?

Mnaogopa nini Lissu kulikabili sanduku la kura?
 
Hii kauli ni kufuru. Lissu kupona ni miujiza ya Mungu na sio Mbowe wala mwanadamu mwingine yeyote. Pia mchakato wa kumtoa Lissu Dodoma hadi Nairobi ulihusisha watu wengi sana na sio Mbowe tu. WanaCCM wengi tu walishiriki kumkimbiza Lissu hospitalini. Kauli ya Mbowe kuwa aliokoa uhai wa Lissu ni kauli ya kipuuzi mno.

Mbowe kama kiongozi mkuu wa CHADEMA hakuwa na jinsi ya kukwepa jukumu la kuhakikisha Lissu anapata huduma. Macho ya watu wote yalikuwa kwake. Alichofanya ni moja ya majukumu yake na sio lazima atake fadhila kwa Lissu.

Tatizo huyu mtu anaangalia kila kitu kama fursa ya biashara. Ni aibu kwake na Wenje kuanza kusema kuna hela wanamdai Lissu kwa kumsaidia kwenye matibabu yake.

Ninamsihi Sultani Mbowe ajaribu kujenga hoja za kisomi badala ya kuachia hoja za kipuuzi kama mpambe wake Y

Mimi binafsi Lissu alipopigwa Risasi niliumia sana hata nilimpigia simu Mchungaji wangu Ili amwombee Lissu, lakini Mbona sijawahi kumsikia Lissu popote akitamka kuwa anamshukuru Mungu Kwa kumuokoa?

Zaidi ya kusikia "hatuwezi kuingilia faragha", kinyume na maagizo ya Mungu?
Kila aombae lzm ujue?
 
Wapi nimesema kasema uongo? Nimesema anaongea sana, na hana mipaka ya nini aongee na nini kiwe cha kamti za uongozi. Akishinda inabidi waandishi wa habari wawe wanishi ofisi za chadema, maana hatutapumzika hizo press kwa miaka mitano.
Ni afadhali kuliko kuwa kiongozi aliyelala.
 
Back
Top Bottom