Freeman Mbowe, Mnyika na Viongozi CHADEMA wakutana na Rais Samia na Viongozi wa CCM Ikulu ya Chamwino - Dodoma leo 20/5/2022

Wacha waendelee kusubiria huruma za watawala . 2025 hii hapa soon
 
Pongezi nyingi sana kwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan, Pongezi kwa kwa mwenyekiti wa Chadema Mbowe kwa kuweka maslahi ya Tanzania mbele.
hicho ndicho watanzania tunacho kitaka, amani na utulivu.
 
Tindo mbonà unaniweka angle nyingine with regard to your credibility on JF. Mandela alizungumza na De Klerk akiwa gerezani and mazungumzo beared some positive results, ngoja wamsikilize. Mtu hakatai wito hukataa analoitiwa
Mtaitwa hivyo mpaka lini na nyie . hebu jitambueni
 
Umemaliza kazi.
 
Wewe haya umeyatoa wapi?
 
Chadema imeshafika bei kitambo sana toka mbowe akubali kutoka jela kwa sharti la kuwa remote ya mama, hao kina tundu lissu hawana tena midomo wamefika mahali wakaona bora yaishe, Tanganyika kwenye mapambano siku zote si watu wakweli

Watanzania bado wanahitaji upinzani madhubuti wa kuiondoa ccm madarakani., tutamkumbuka na kumuenzi Maalim Seif Sharif Hamad siku zote, jemedari ambaye hakuwahi kutetereka wala kuyumba yumba kwenye mapambano.
 
Je Chadema wametoa taarifa yeyeto kuhusu mazungumzo ya Ikulu?
 
Kesi Iko mahakamani, hakuna mhimili unaweza kuingilia mahakama
Haaaaaa,mbona mhimili mmoja ilishaingilia huku kesi hata haijatajwa/kusomwa.Amiri tunaye.mihimili baadae
 
Acha dharau ndg. Unaweza kufikiri una maisha kumbe huna.
Weka akiba ya maneno.....
 
Wewe ndg yangu nchi inaongozwa na mifumo sio hizo danganya Toto umeshawahi kuona raia walioweka mifumo ktk nchi zao viongozi wao hukutana kwenye mambo kama hayaa
 
Sikuandika hivyo, isipokuwa wewe ndo umeelewa na kufikiria hivyo. Ukitumia akili iliyohuru utatambua kuwa jamaa anafanya siasa kwa lengo na masilahi ya nani.
Anhaa! Labda hata kwenye ile kesi ya mchongo, kwa akili yako huru, alilipwa!
 
Jitoe wewe nyuma ya keyboard ukafanye huo upinzani wa kweli!
 
Wewe hata mumeo akishindwa kusimamisha ili akupande utamsingizia magufuli
 
Co-existence of the opposites is a natural essential phenomenon. "Tusubiri kuona kitakachotokea".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…