Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Kesi ilikua ya mchongo, ushahidi wa kuunga unga! Serikali walijua utetezi watapangua kesi, wakaweka mpira kwapani. Mmekuwa mkisema CHADEMA wanafanya siasa za fujo, sasa Mbowe anatafuta muafaka mnaleta maneno ya usaliti! Nyie msiotaka mazungumzo, anzisheni Umoja Party!Lete sababu za msingi kwanini alikuwa na kesi ya kujibu na ghafla kesi inafutwa lakini anatoka na kuunganisha Ikulu kwa mtesi wake, em jibu hili suali japo points 2 tu.
Kwanini wasilipwe?! Mbona kuna jumba Dodoma, mabilioni yanalipwa watu waongee tu, mwisho waseme ‘ndioooo’!Hawawezi acha kujilipa.
Kuhudhuria kwenye kesi walikua wanajilipa mkuu.
Wamesha anzisha hao ila pia wamekwama kabla ya kuanza Kwa kuendeleza mrengo uliowagawa watanzania na kuwaudhi pakubwa🚶Kesi ilikua ya mchongo, ushahidi wa kuunga unga! Serikali walijua utetezi watapangua kesi, wakaweka mpira kwapani. Mmekuwa mkisema CHADEMA wanafanya siasa za fujo, sasa Mbowe anatafuta muafaka mnaleta maneno ya usaliti! Nyie msiotaka mazungumzo, anzisheni Umoja Party!
kwanini alienda Ikulu break ya kwanza? walizungumza nini hasa na mama lakini hivi naandika pia alitoka tena ikulu juzi ajenda ni nini hasa na Rais ambaye ni mtesi wake?Kesi ilikua ya mchongo, ushahidi wa kuunga unga! Serikali walijua utetezi watapangua kesi, wakaweka mpira kwapani. Mmekuwa mkisema CHADEMA wanafanya siasa za fujo, sasa Mbowe anatafuta muafaka mnaleta maneno ya usaliti! Nyie msiotaka mazungumzo, anzisheni Umoja Party!
Hatua ya sasa ya kwenda ikulu, ameenda na viongozi kadhaa, ikifikia wakati wa umma kufahamishwa mazungumzo hayo, taarifa itatolewa! Lakini kinacho kuwasha hapa, siyo CHADEMA kununuliwa na ccm, ni kwa sababu mh. Samia anaenda kinyume na mungumfu wenu!kwanini alienda Ikulu break ya kwanza? walizungumza nini hasa na mama lakini hivi naandika pia alitoka tena ikulu juzi ajenda ni nini hasa na Rais ambaye ni mtesi wake?
Kina msigwa kwanini hawaongei chochote? heche? kwanini kama Mbowe ametupiwa paka wa uso peke yake, tundu lissu aliulizwa akasema atajibu mwenyewe mbowe kwanini na yeye kila kitu kikitokea anajifanywa mwanasheria kutoa fatwa? kwanini hili la mbowe Ikulu mara kwa mara hasemi kitu? mnawafanya watanzania wajinga kiasi hichi, kwanini mwenyekiti wenu anatumiliwa na ccm mchana kweupe?
subiri akili zikurudie kichwani mana zote zimekimbilia makalioniSawa.
Ila ni swala la muda tu.
2025 sio mbali.
Utautafuta na kuufukua uzi huu.
Kumbe kuna wamiliki wa nchi. Mbona mnaongea kama akina HAMNAZO hivi?SUKUMA GANG nchi imerudi kwa wenye nayo.
Kuna wakati Mungu hushindwa na kuweka wasikuwa wa mipango yake eeeRais SSH ni mpango wa Mungu. Hakika baada ya yule Shetani wa Chato ambaye alikuwa anatugawa kiitikadi na kikabila, akiua na kutudanganya, tumepata kiongozi mwenye upendo, mcha Mungu na anayeipenda nchi yetu kwa dhati. Tanzania Iko salama sana mikononi mwa Samia.
Sanasana Magufuli angewapiga risasi au kuwateka
Kumbe Pambalu nawe ulikuwepo?Hongera.Ukiambiwa mimi ni miongoni mwa Timu ya Chadema inayokutana na Samia utakufa au utaishi ?
Mbowe gani? Au huyu?hivi hao akina Mbowe ndio magufuli alisema anaogopa kukaa nao meza moja maana wanaweza kumchinja
Mkuu mbunge wa hapa yuko wapi ?Mbowe gani? Au huyu?View attachment 2235248
Ndio mana Mbowe amesema ataifumua na kuipanga upya chadema ili wanaotaka kwenda na kasi ya manunuzi ya chama hicho waende kina Piter Msingwa, Heche na wenzake ambao wanaamini chadema ile ya zamani wasioamini kwenye udalali wao watapuumzishwaHatua ya sasa ya kwenda ikulu, ameenda na viongozi kadhaa, ikifikia wakati wa umma kufahamishwa mazungumzo hayo, taarifa itatolewa! Lakini kinacho kuwasha hapa, siyo CHADEMA kununuliwa na ccm, ni kwa sababu mh. Samia anaenda kinyume na mungumfu wenu!
Simple logic. Rais wa Tanzania hahitaji kubembeleza mtu au kikundi cha watu ili atawale bila mikwaruzo. Uongozi wa CHADEMA haujaalikwa Ikulu kwa kubahatisha. Kete yao ni ipi?CDM
Tengeneza kuungwa mkono na jamii, ivuteni jamii iwe upande wenu, na ndio siasa haswaa
Hii ya kutengeneza moves kupata keki ya taifa mtaishia second runners always if not forever..Na always mtakuwa watu wa kubeg
Kuna makosa na dhambi mmeifanya kwa raia wa Tanzania
Leo nyie hamna mvuto kwa raia...samia yes atawavuta, atawapenda
Ila CCM haitawavuta na kuwapenda!
Mko na bidii kutafuta kupendwa na mkuu wa nchi ila sio kwa wananchi
Chadema wanatufundisha mazuzu ya Lumumba na nduli alliyeko kusiko julikana kuwa siasa sio uadui, kutekana kuuana na kusingiziana kesi za urongo Bali siasa ni kushindanisha sera kwa wananchi na bado mkabakia mnaheshimiana na kushirikiana japo mna itikadi tofauti.Hivi tukikumbuka yaliyo tokea Uchaguzi Zanzibar 2020 ,Machafuko na kupotea kwa watu Mbali Mbali kwa sababu za kisiasa...
Huna lolote wewe sukumagang, na mtakufa tu nyie Warundi!Ndio mana Mbowe amesema ataifumua na kuipanga upya chadema ili wanaotaka kwenda na kasi ya manunuzi ya chama hicho waende kina Piter Msingwa, Heche na wenzake ambao wanaamini chadema ile ya zamani wasioamini kwenye udalali wao watapuumzishwa