Freeman Mbowe, Mnyika na Viongozi CHADEMA wakutana na Rais Samia na Viongozi wa CCM Ikulu ya Chamwino - Dodoma leo 20/5/2022

Wakuu
Hizi ni juhudi za mama
Kuiokoa SERIKALI yake
Namna pekee ni kuwabembeleza CHADEMA washiriki uchaguzi 2025!
Ngoja Tuone!!
 
.... Dah; Mbowe kulikoni tena? Mbona unasaliti mageuzi?
 
Subiri atatuletea mrejesho, kuanza kutukana nikukosa busara
 
Sawa haifai ebu njoo na solution tunafanyeje
 
Ata timu pinzani zinakutana uwanja mmoja na kucheza dakika tisini. Huwezi kuita usaliti kwenda kucheza na timu pinzani.

Huu ni mzunguko wa siasa
 

Ni jambo jema viongozi wakikaa kitako wakazungumza namna ya kutatua mkwamo bila Vita wala mparurano.
 
CHADEMA kutoka kwenye kutekwa na kuteswa Leo mnaramba asali!

Ama kweli baada ya dhiki ni faraja.

Na wewe Kinana kutoka kunyanyapaliwa na kina Musiba Leo unaramba asali!

MEZA IMEPINDULIWA KIBABE!
 
Mbona chadema kama hatujaipromoti sana hii ishu means hatujapenda mtu huru kwenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu ajira zao zilitegemea malumbano na kuitukana serikali, mtu kama Mdude na Martin Maranja ....Sasa chama hakitawapa posho ya kukaa mtandaoni kutukana, sijui nani katekwa wanaweka hashtag.

Ajira yao inastawi katika mazingira ya migogoro

Muda si mrefu hata maria Sarungi ataukalisha, wanapoteza relevancy, wafadhili hawatampa hela
 
Mbinu ya Chadema ni kuionyesha Dunia kwamba Mazungumzo yalishindikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…