NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Subiri atatuletea mrejesho, kuanza kutukana nikukosa busara,[emoji116]
Walienda ikulu kujadili nini kama sio siasa za kinafiki wakati CCM haifai kabisa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha majadiliano ya pamoja na Viongozi Wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na mwenyekiti wa Chama Mhe. @freemanmbowetz, Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 20 Mei, 2022. https://t.co/fHyVu2FDaf
View attachment 2232222
Mbowe awe makini, CCM sio wa kuamini kuwa wanaweza kuweka mazingira yatayoruhusu wao kuachia dola kwa amani.
Anyway, inawezekana strategy ya CHADEMA ni kwanza kutumia meza ya mazungumzo(wasije kulaumiwa kuwa walikataa hiyo fursa), ili kesho na keshokutwa wakitumia mbinu mbadala wasilaumiwe.
Kwa maneno mengine, watayokubaliana yatakuwa documented na kuwa public, hivyo ataenda kinyume, ndio atalaumiwa.
Ni mtazamo wangu.
Kuna watu ajira zao zilitegemea malumbano na kuitukana serikali, mtu kama Mdude na Martin Maranja ....Sasa chama hakitawapa posho ya kukaa mtandaoni kutukana, sijui nani katekwa wanaweka hashtag.Mbona chadema kama hatujaipromoti sana hii ishu means hatujapenda mtu huru kwenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbinu ya Chadema ni kuionyesha Dunia kwamba Mazungumzo yalishindikanaMbowe awe makini, CCM sio wa kuamini kuwa wanaweza kuweka mazingira yatayoruhusu wao kuachia dola kwa amani.
Anyway, inawezekana strategy ya CHADEMA ni kwanza kutumia meza ya mazungumzo(wasije kulaumiwa kuwa walikataa hiyo fursa), ili kesho na keshokutwa wakitumia mbinu mbadala, wasilaumiwe.
Kwa maneno mengine, watayokubaliana yatakuwa documented na kuwa public, hivyo ataenda kinyume, ndio atalaumiwa.
Ni mtazamo wangu.
Wema wake utategemeana na matokeo ya vikaoNi jambo jema viongozi wakikaa kitako wakazungumza namna ya kutatua mkwamo bila Vita wala mparurano.
Mmekosa ajenda mafirauni nyie. Mliwatukama ACT leo hamna la kusema. Rais akiamua hata kutokukutana na Chama chochote atatawala tu. Poor idiots .Wakuu
Hizi ni juhudi za mama
Kuiokoa SERIKALI yake
Namna pekee ni kuwabembeleza CHADEMA washiriki uchaguzi 2025!
Ngoja Tuone!!