Freeman Mbowe: "Mtu anaweza tu akashangiliwa kwenye majukwaa akapigiwa kura, lakini hakuna meritocracy (uwezo)". Je, dawa mujarabu ni ipi?

Freeman Mbowe: "Mtu anaweza tu akashangiliwa kwenye majukwaa akapigiwa kura, lakini hakuna meritocracy (uwezo)". Je, dawa mujarabu ni ipi?

Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
Baba yako bora angemwaga nje au mama yako bora angefanya abortion
 
Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?
Masuala ya clouds yanahusiana vipi na mada hii mkuu?
 
1.Makada wa vyama vya siasa wasiwe makamishina na watendaji wa tume ya taifa ya uchaguzi, iwe na marufuku kwa mtu aliyewahi kuwa kada wa chama kuwa mtendaji katika tume.

2.MaDED wasiwe watendaji wa tume katika ngazi za majimbo. Hata mahakama kuu ilikubaliana na hii hoja kabla ya watendaji wa jiwe kwenda kupindua katika mahakama ya rufaa.

3.Matoke ya Urais yapingwe mahakamani pia na kuwepo na mahakama ya kikatiba itakayoshughulikia kesi za uchaguzi na ukiukwaji wa katiba na viongozi.

4.Ubunge wa mbunge au spika usikome pale anapohama chama au kufukuzwa na chama chake ili kulifanya bunge kuwa huru.

5.Ubunge wa viti maalum na wa kuteuliwa uondolwe. Wabunge wote wawe ni watu waliopigiwa kura katika majimbo yao na watu wote. Ni fedhea kuwa na watu waliopigiwa kura na 'wanachama' wa vyama vyao tu. Pia hakupaswi kuwa na jimbo la Ikulu bungeni. Hata katibu wa bunge anapaswa kuwajiriwa na bunge sio kuteuliwa na Rais kama ilivyo sasa.

6.Rais aondolewe mamlaka ya kulivunja bunge.

7.Wagombea binafsi waruhusiwe kwa ngazi zote.Mwinyi amekiri kwamba ugombea binafsi ulipingwa kwa maslahi ya chama chake na sio maslahi ya taifa.
Mwambieni ndugu mwenyekiti ametuacha hewani kwa kutuambia tatizo linalokabili siasa zetu bila kutoa suggestions ya nini kifanyike. Mifumo bora ya kisiasa ina manufaa kwa wote chama tawala na upinzani.
 
Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
Nyanoko ngikulu nogi
 
8.Makada wa vyama na watu walio nje ya mfumo wa utumishi wa umma wasipewe nafasi kubwa za juu katika uongozi wa umma.

Nafasi za katibu mkuu Kiongozi, makatibu wa wizara, ukurugenzi wa halmshauri na mashirika ya umma, wakuu wa mikoa na wilaya zipatikane kwa kupanda ngazi za utumishi kutoka ngazi ya chini kabisa badala ya kupachika pachika watu tu kutoka kusikojulikana.

Hii ni muhimu sana ukizingatia nchi yetu ni de facto monoparty state(nchi ya chama kimoja pasipo kuwa ni sheria) hivyo ni muhimu tukajaribu kuuiga mfumo wa upatikanaji wa viongozi wa china iliyofanikiwa chini ya chama kimoja.
Mwambieni ndugu mwenyekiti ametuacha hewani kwa kutuambia tatizo linalokabili siasa zetu bila kutoa suggestions ya nini kifanyike. Mifumo bora ya kisiasa ina manufaa kwa wote chama tawala na upinzani.
 
Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
Mkuu, CCM inadeserve kukosolewa kwa kuwa inadhika Dola. Chama Cha Democrasia na Maendeleo na vyama vingine utavikosoa kwenye uendeshaji wa taasisi zao, ambapo hiyo ni kaxi ya wanachama. Kumkosoa Lema au Mbowe, hukosoi Chama. Unakosoa mtu mmoja mmoja. Lema, Mbowe au Lisu hao Ni watu sio taasisi Shekh. Kuishi uhamishoni ni sirika ya binadamu yeyote anapohisi hatari eneo analoishi, sio eti kulelewa na mwanaume mwenzio. Unaongea hivyo kwakuwa hujawahi kutishiwa maisha na Dola iliyopaswa kukulinda.
 
Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
hivi umeandikiwa na nani hii ? maana uzi wa tano huu nakutana nayo una copy na ku paste.
 
Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
CHADEMA utopolo tu
 
Imekuwa ni desturi kwa chadema kujiona wana haki ya kukosoa tu!
Kwa muda mrefu uhuru wa habari kichwani mwa Chadema unamanisha ni kutukana na kukosoa wengine ila wao kukosolewa hapana.

Ukiwakosoa chadema watakuita ni dikteta ila wao wakikukosoa wanaita ni uhuru wa habari!!!

Kitendo cha Chadema kuanzisha kampeni ya kuunfollow Clouds kisa tu wamehoji watu wanaowakosoa siyo haki kabisa na ni unyumbu na uzwazwa wa hali juu kwenye chama hicho.

Jiulize kama Lema ambaye hana cheo chochote anaishi kwa kulelewa na wanaume wenzake huko Ulaya anaweza kuanzisha kampeni ya kipuuzi namna hiyo kisa tu dikteta Mbowe amekosolewa, vipi Lema angekuwa rais wa nchi angechukua hatua gani kwa clouds na wakosoaji wa mienendo ya Chadema?

Bila shaka chadema wanaohubiri demokrasia na uhuru wa kutoa maoni hawana chembe hata tone la uvumilivu pindi wanapokosolewa.
Weka ufuasi pembeni kwa muda tujadili suala la kitaifa kwanza.
 
Hayo maneno niliyo bold hajayasemwa na Mbowe katika mahojiano yale, sasa unafikiri wasomaji kama sisi tutaelewaje mkuu?

Au aliyasema ila mimi ndio sijayaona? Unaweza kuniwekea screenshot basi mkuu. Alafu tangia lini katibu mkuu akapigiwa kura ndani ya chama chochote kile cha kisiasa hata CCM, NCCR na CUF hakuna hili sasa yeye alitaka kuiga kutoka wapi?
Katibu huwa ni mteuliwa kwa sifa na utendaji wake. Bora mtu mwingine awe easy going lakini katibu awe technocrats. Hili suala la COVID - 19 pale bungeni ni danadana tu ilihali Freeman mbowe Aikael anafahamu kinachoendelea. Kama wale wabunge ni haramu ni kwa nini akina mbowe wapokee (kama wanapokea) na kutumia ruzuku haramu inayotokana wa watu haramu wanaovunja ibara ya 78(e) ya Katiba ya JMT?
 
Back
Top Bottom