Pre GE2025 Freeman Mbowe ndie Waziri Mkuu ajaye, na Rais ni Samia

Pre GE2025 Freeman Mbowe ndie Waziri Mkuu ajaye, na Rais ni Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Hili linaweza kutokea ikiwa haya mawili yatatokea.

Kwanza, CCM ikubali CHADEMA iwe na idadi kubwa ya wabunge ndani ya bunge,
Pili, Mbowe ahamie CCM agombee ubunge na ashinde.

Katika hayo mambo mawili, sioni hata moja likiwezekana.

Linawezekana mkuu tema mate chini ni
 
Nusu Mkate ni CCM imekubali kuachia baadhi ya majimbo ili wapinzani waingie bungeni likiwemo jimbo la Hai!, TL alipotua nchini, akasema "this is rubbish!", Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
P
CCM hawaaminiki,

Walimwibia kura Zitto uchaguzi wa marudio wakiwa kwenye SUK Zanzibar,

Hakuamini macho yake.

Huo ukoloni wa kugawiana majimbo bila ridhaa ya wananchi haikubaliki.

Maridhiano ni Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote - Robbon
 
Nilishawai kuwambia mbowe atarudi ccm dalili ya mvua ni mawingu wakati wowote mvua inanyesha si mmeona anampigia kampeni saa 100 pale kanisani kkkt
 
Back
Top Bottom