mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Tubadilike !Huo ndio uhalisia, au umeusahau uchaguzi wa 2020?
Otherwise KARMA is gonna do the works very soon 🙏🙏 !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tubadilike !Huo ndio uhalisia, au umeusahau uchaguzi wa 2020?
Ili ipatikane Katiba mpya bora Kabla ya 2030 !Kwani Uraisi hautaki tena au imekuwaje? 😆
Tubadilike !
Otherwise KARMA is gonna do the works very soon 🙏🙏 !
Una hoja nzuri sana. Lakini mwandiko wako ni mbaya! Sisi wenye uoni hafifu unatukera
Muda utaongea !Mabadiliko ya kweli yanaanza na watu wenyewe, nashangaa sana wanasiasa wanalia na sheria. Sheria za uchaguzi za nchi yetu ni asilimia ndogo sana ya tatizo tulilo nalo, nafikiri hazifiki hata 4%.
Watu wa nchi hii sio waadilifu na wenye dola hawaamini katika demokrasia na utii wa sheria, hili ndio tatizo.
Alisikika chizi mmoja pale.manzeseFreeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
Daah!!😄Madagascar wako na Rais mpaka sasa ni DJ!! Acha kukalili kima mjane wewe
Wewe mwenye Phd Unamzid nini Mbowe labda? Mbowe unakuzid kila kitu na si wewe tu bali ukoo wenu wote combines,hilo unalijuaHatuwezi kuongozwa na PM darasa la saba
Hao waliopo wanye CV kari wamefanya nini?Waziri mkuu ambae historia inaonyesha kuwa alikuwa ni DJ?jamani wakati mwngine tujaribu kuwa waungwana
Inaonekana hapa ndio umejenga hoja hadi mwisho,Kengeza zake zinaingiaje hapa?Huyu huyu kengeza?
Uwaziri mkuu si sawa na kuongoza nyumbu...
Sioni likitokea.
Hilo jizi lako halina nafasi TanzaniaFreeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
Aucheze mwingi kuuza nchi?Safi sana, huyo akiwekwa wala hana impact yoyote. Ni kama imetundikwa picha tu ofisini.
Hapo Mama Samia ataucheza mwingi sana.
Unawaza kwa kutumia utumbo mpana?Nilishawai kuwambia mbowe atarudi ccm dalili ya mvua ni mawingu wakati wowote mvua inanyesha si mmeona anampigia kampeni saa 100 pale kanisani kkkt
Ule uwaziri mkuu mliosema kwamba ataapishwa baada ya masaa 72 mliishia wapi? Au ndo huu mliuahirisha?Freeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
Kengeza hafai kuwa kiongozi wa kitaifa.Inaonekana hapa ndio umejenga hoja hadi mwisho,Kengeza zake zinaingiaje hapa?
Zoea hii sautiHatuwezi kuongozwa na PM darasa la saba
Mungu wako amekusikia juu ya kucheka uumbaji wake hongera ww mzima.Kengeza hafai kuwa kiongozi wa kitaifa.
Wacheni unafiki nyinyi, juzi tu mumeshangilia kifo cha Magufuli...Mungu wako amekusikia juu ya kucheka uumbaji wake hongera ww mzima.