Pre GE2025 Freeman Mbowe ndie Waziri Mkuu ajaye, na Rais ni Samia

Pre GE2025 Freeman Mbowe ndie Waziri Mkuu ajaye, na Rais ni Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wacheni unafiki nyinyi, juzi tu mumeshangilia kifo cha Magufuli...

Kwahiyo nyinyi mlimfurahisha Mungu?
Malihenge hakujitakia .ila kifo cha magu ni adhabu ya mungu kwa uovu na uuaji wake
 
Itakua poa Sana...
Siasa zetu hatimaye zitafanan na Kenya.
 

Hili linaweza kutokea ikiwa haya mawili yatatokea.

Kwanza, CCM ikubali CHADEMA iwe na idadi kubwa ya wabunge ndani ya bunge,
Pili, Mbowe ahamie CCM agombee ubunge na ashinde.

Katika hayo mambo mawili, sioni hata moja likiwezekana.

Mahesabu yameenda kombo...Kuna watu wa tos dice every direction thinking some of us are stupid...Nchi ni yetu sote na tutaijenga Kwa jasho na damu...Tanzania njema ni lazima apende au asipende mtu
 
Freeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
kwa katiba ipi ndugu?
 
Pascal Mayalla njoo utusaidie huku. Hii ndiyo nusu mkate waliokubaliana ccm na chadema ktk maridhiano? Kuna uzi wako mmoja umetaja suala la nusu mkate.
Huo mkate ulishaingia fungi...Mine eyes and ears...Lord You are mighty and able!
 
Mungu aniweka hai tu nishuhudie mwaka ambao Majaliwa ataenda kuiongoza hii nchi,itakuwa katika mikono salama mno.
 
Freeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
Hakuna Rais hapo, na hakuna Rais kwasasa Bali ni bomu Tena la kienyeji
 
Wewe mwenye Phd Unamzid nini Mbowe labda? Mbowe unakuzid kila kitu na si wewe tu bali ukoo wenu wote combines,hilo unalijua
Wewe unamuabudu Mbowe Kwa sababu anakuzidi Kila kitu? Na umejuaje anakuzidi Kila kitu, wewe Basha wako?
 
Back
Top Bottom