Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njozi za Abunuwas hizo mkuuFreeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
ThubutuuuuuuWaambie hao waambie hawajui kitu wakae kwa utulivu tuu hiyo ndiyo habari mpasuko
Hao akina kabudi wameifanyia nn nchi hii ?,,Hatuwezi kuongozwa na PM darasa la saba
Rajoelina wa Madagascar alikuwa dj kabisa ana-scratch kwenye kumbi za starehe lakini alifanikiwa rais wa nchi.Waziri mkuu ambae historia inaonyesha kuwa alikuwa ni DJ?jamani wakati mwngine tujaribu kuwa waungwana
Luis Inacio Lula Da Silva kiongozi wa Taifa Kubwa Kabisa aMerika Kusini alikuwa fundi viatu.Waziri mkuu ambae historia inaonyesha kuwa alikuwa ni DJ?jamani wakati mwngine tujaribu kuwa waungwana
Alikuwa anachoma nywele huyo msimuone hivyo na biashara ya NGADA anaijua sana!Waziri mkuu ambae historia inaonyesha kuwa alikuwa ni DJ?jamani wakati mwngine tujaribu kuwa waungwana
Yaani Chadema au Chama kingine chochote hakiwezi kupata wabunge mpaka Ccm wakubali ??!!
Hili linaweza kutokea ikiwa haya mawili yatatokea.
Kwanza, CCM ikubali CHADEMA iwe na idadi kubwa ya wabunge ndani ya bunge,
Pili, Mbowe ahamie CCM agombee ubunge na ashinde.
Katika hayo mambo mawili, sioni hata moja likiwezekana.
Samia una mbwembwe sana wewe.Safi sana, huyo akiwekwa wala hana impact yoyote. Ni kama imetundikwa picha tu ofisini.
Hapo Mama Samia ataucheza mwingi sana.
Sekretari.Kwani hapo kabla Saa100 alikuwa anafanya kazi gani ?.
Ahsabte kwa taaridfa potofu.Samia una mbwembwe sana wewe.
Kiama chako chaja.
Ngoja kwanza mkewe Erythrocyte aje kuthibitishaFreeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
Una hoja nzuri sana. Lakini mwandiko wako ni mbaya! Sisi wenye uoni hafifu unatukera
Hili linaweza kutokea ikiwa haya mawili yatatokea.
Kwanza, CCM ikubali CHADEMA iwe na idadi kubwa ya wabunge ndani ya bunge,
Pili, Mbowe ahamie CCM agombee ubunge na ashinde.
Katika hayo mambo mawili, sioni hata moja likiwezekana.
Yaani Chadema au Chama kingine chochote hakiwezi kupata wabunge mpaka Ccm wakubali ??!!
😅🙄😱
Maajabu ya inayoitwa Bongoland !
Ngoja Tusubiri tuone tunapelekwa wapi !!
Kwani Uraisi hautaki tena au imekuwaje? 😆Freeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.