4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Nchi hii inatia hasira sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa dunia hamtaki kuona wawili wakipendana | Papii Kochadah! we dada kwa kumsifia mumeo hujambo, yaani dj muangushwa na nyagi ndo awazidi magwij ka nyerere?
Kwa nini sasa umeweka hiyo picha feki ya tatu hapo juu? Iondoe.usinilishe maneno , wapi nimeyasema hayo ?
Aliyesema feki ni nani ? hivi Mbowe hakuwahi kuonana na Samia hadi Samia akawa Rais ? unajua kabla ya umakamu wa Rais Samia alikuwa nani ?Kwa nini sasa umeweka hiyo picha feki ya tatu hapo juu?
Unanipotezea muda tu na hilo ligaidi lako.Aliyesema feki ni nani ? hivi Mbowe hakuwahi kuonana na Samia hadi Samia akawa Rais ? unajua kabla ya umakamu wa Rais Samia alikuwa nani ?
kila la heriUnanipotezea muda tu.
Sawa.kila la heri
Haha nlijua tu mwananguLini Mbowe alikwenda Ikulu na kusalimiana na rais Samia kama sio uongo wako? Umezidi hebu punguza kidogo.
Mambo ni motoo Chadema mbele kwa mbele....mwendo mdundomeko alijitaidi kumpoteza akapotea yye na huyu wa saizi itakuwa hivyo hivyo
Nyerere alifanya kazi ya kawaida tu, maana Tanganyika was a protectorate, Uhuru ilikuwa Ni haki ya Watanganyika ambayo wangeliipata. Watanganyika walikuwa wanalelewa ili waweze kujitawala baadaye. Tatizo lilikuwa Ni WHEN.dah! we kwa kumsifia hujambo, yaani dj muangushwa na nyagi ndo awazidi magwij ka nyerere?
Utateseka sana!Wewe mchagga na mchagga mwenzako Salary Slip nawachukia mnaboa. Nyie mtakuwa wanawake wa kichagga. Mkiwa kwenye hedhi mnashindwa kujizuia matokeo yake ni kuonyesha mapenzi yenu waziwazi kwa Mbowe.
Acha kutishia wanaume wee mama wa kichaggaNilitaka nikujibu, nitafungiwa, ngoja saa Tisa usiku nitakujibu
Mkuu tumia hata akili kidogo tu.Hiyo Picha huoni niya zamani?Acha siasa za kimalaya Malaya !Acha kuchota laaanaLini Mbowe alikwenda Ikulu na kusalimiana na rais Samia kama sio uongo wako? Umezidi hebu punguza kidogo.