Freeman Mbowe ndiye mpigania haki maarufu zaidi barani Afrika kwa sasa

Freeman Mbowe ndiye mpigania haki maarufu zaidi barani Afrika kwa sasa

Mkoloni mweusi ni hatari kuliko mzungu maana mweusi atatumia kila mbinu abaki madarakan ili aendelee kula mema ya nchi kwa sababu ametokea ktk familia masikini sana
 
Gaidi faru John utopolo mtupu. Saccos imekongoroka yote, sasa hivi mpo sawa na chauma.
 
Moderator Hukutakiwa kukerwa na heading niliyoweka , nimekuwekea ninachokijua ndani ya uzi kama ushahidi wa Mbowe kuwa juu ya wazee wetu wa zamani , sikutukana wazee wala sikuwakosea heshima yoyote , umeedit na kuondoa uhalisia wa uzi wenyewe ? hukutenda sawa .

Mara nyingi mimi nimeomba kwamba kama uzi ninaoweka unavunja kanuni za jf ufutwe badala ya kuedit kwa vile haufurahishi watu fulani .

TAFITI HUPINGWA KWA TAFITI MPYA
 
Mkuuu umepoteza tu muda wako. Nenda Print tunza room kwako na Pia watumie Wale unaoruka nao kwa mabawa ya rangi moja. Mbowe Ni mtu wa kawaida sana. Labda kama wewe mwenzetu una maana nyingine.
 
Tulishasema hapa Mbowe ni mgumu sana kwenye siasa kwasababu wazee wa Dar-es-salaam wanamuaona kama mtoto wao. Mbowe anajulikana tokea miaka ya 1980's na wamemuona akikuwa na biashara zake leo hii hawawezi kukuelewa ukimwita majina ya ajabu. Kwa ufupi wanamjua kuliko viongozi wengine wote wa vyama vyote. Kwasababu hii haohao CCM wa Dar ndiyo watakuwa wakwanza kukuchukia na sio hata upinzani. Siasa zina mipaka na hapa serikali imeruka mipaka yake

Mkuu umechemka. Huwezi kula hela ya Mzungu pembeni ukabaki mzalendo wa kiasi hicho. Wote Sisi Ni binadamu. Weka Hilo moyoni mwako na kuwa makini.
 
Mkuuu umepoteza tu muda wako. Nenda Print tunza room kwako na Pia watumie Wale unaoruka nao kwa mabawa ya rangi moja. Mbowe Ni mtu wa kawaida sana. Labda kama wewe mwenzetu una maana nyingine.
una umri gani ?
 
Nyerere alifanya kazi ya kawaida tu, maana Tanganyika was a protectorate, Uhuru ilikuwa Ni haki ya Watanganyika ambayo wangeliipata. Watanganyika walikuwa wanalelewa ili waweze kujitawala baadaye. Tatizo lilikuwa Ni WHEN.

Kenya was a colony and therefore they had a justified cause to fight under MAUMAU, we did not have a military fight. Nyerere alikuwa na haraka ya kupata Uhuru (which was good anyway), lkn siyo kuwa alikuwa na struggle ya kufa mtu. Nyerere's life was not in danger as Mbowe's is.

Sasa hivi Mbowe Ni Kama anapigana Vita ya msituni maana anaweza kufa wakati wowote Kama walivyokufa akina Mawazo, Ben etc. Nyerere was not facing such a danger.

By the way, unamuita DJ, katika familia yako Kuna mtu wa elimu Kama ya Mbowe? Utajiri Kama wa Mbowe, Heshima Kama ya Mbowe? Kuwa mkweli , usitukane.
nyerere kaipigania afrika huwezi mlinganisha na dj
 
Tunaliomba Jeshi la Polisi pia lifuatilie nyenendo za viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wake ambao kimsingi walifurahia sana kitendo cha Gaidi Hamza kuwauwa Askari wetu.
hii inathibitisha kuwa viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wao wana kila dalili za kujihusisha na vitendo vya Kigaidi ndio maana walifurahia vitendo vilivyo fanywa na Hamza.
ni muhimu sana wafuatiliwe popote pale walipo ktk kila kona ya nchi hii.
tusowafuge wala kuwalea.
nasisitiza tena Jeshi la Polisi kamwe lisivumilie vitendo vya viongozi wa chadema na baadhi ya wafuasi.
 

Gwiji la siasa za Mageuzi Nchini Tanzania Freeman Mbowe, ama Mtemi Isike, Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar, sasa anatajwa kama ndiye mpigania haki, demokrasia na uhuru anayeheshimika zaidi barani Africa, wachunguzi wa siasa za dunia wanamuweka Mbowe juu ya Mwl Nyerere, Mandela, Nkurumah na wapigania uhuru wengi wa zamani, kwa vile yeye anapambana na watawala makatili wa kiafrica ambao wamejitwisha udikteta kutokana na kulewa madaraka baada ya kuchukua madaraka kutoka kwa wazungu.


Tukumbuke kwamba kupambana na Mkoloni mweusi ni hatari zaidi kuliko mkoloni mweupe, hii ni kwa sababu wako tayari kukufanya chochote ili waendelee kufaidi utamu wa madaraka ya nchi yaliyojaa neema kibao za marupurupu walizojiwekea wao wenyewe kwa kutumia katiba mbovu walizoziandika wenyewe kwa matakwa yao.

Vitisho vyote hivi kutoka kwa watawala weusi Mbowe anavijua lakini hakuwahi kuogopa wala kusalimu amri, hakuwahi kujidhalilisha wala kusaliti umma unaotaka Uhuru wa kweli kama wafanyavyo Mamluki wengine mnaowafahamu, ambao walipoona vitisho na njaa vinazidi wakaamua kusalimu amri. Hii ndio maana pamoja na kufahamu kwamba watawala wa Tanzania hawataki Katiba mpya wala Tume huru ya uchaguzi na kwamba kama angeendelea kuipigania angeuawa ama kukamatwa na kupewa kesi mbaya lakini hakuogopa.


Wapigania uhuru wa zamani waliungwa mkono na weusi wenzao kwa vile lengo lilikuwa kupata uhuru, lakini kwenye harakati za sasa za Mbowe na Chadema ni kuleta usawa kwenye nchi kwa kuleta katiba itakayowaondoa miungu watu, hii kazi si nyepesi na imejaa mamluki wengi mno, hapa ndipo Mbowe anapokuwa tofauti na wale wa zamani na ndio panapomuweka juu yao, ni hatari sana kufanya siasa kwenye nchi iliyojaa mamluki wanaotega mitego ya usaliti ili walipwe bakhshishi na watawala, hata hivyo Mbowe ameruka vihunzi vyote na kushinda na sasa anapambana na Polisi tu, wanasiasa walio madarakani wanamuogopa vibaya sana.

Kabisa Mbowe amekuwa shujaa sio wa Tanzania tu bali Africa nzima.
 

Gwiji la siasa za Mageuzi Nchini Tanzania Freeman Mbowe, ama Mtemi Isike, Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar, sasa anatajwa kama ndiye mpigania haki, demokrasia na uhuru anayeheshimika zaidi barani Africa, wachunguzi wa siasa za dunia wanamuweka Mbowe juu ya Mwl Nyerere, Mandela, Nkurumah na wapigania uhuru wengi wa zamani, kwa vile yeye anapambana na watawala makatili wa kiafrica ambao wamejitwisha udikteta kutokana na kulewa madaraka baada ya kuchukua madaraka kutoka kwa wazungu.


Tukumbuke kwamba kupambana na Mkoloni mweusi ni hatari zaidi kuliko mkoloni mweupe, hii ni kwa sababu wako tayari kukufanya chochote ili waendelee kufaidi utamu wa madaraka ya nchi yaliyojaa neema kibao za marupurupu walizojiwekea wao wenyewe kwa kutumia katiba mbovu walizoziandika wenyewe kwa matakwa yao.

Vitisho vyote hivi kutoka kwa watawala weusi Mbowe anavijua lakini hakuwahi kuogopa wala kusalimu amri, hakuwahi kujidhalilisha wala kusaliti umma unaotaka Uhuru wa kweli kama wafanyavyo Mamluki wengine mnaowafahamu, ambao walipoona vitisho na njaa vinazidi wakaamua kusalimu amri. Hii ndio maana pamoja na kufahamu kwamba watawala wa Tanzania hawataki Katiba mpya wala Tume huru ya uchaguzi na kwamba kama angeendelea kuipigania angeuawa ama kukamatwa na kupewa kesi mbaya lakini hakuogopa.


Wapigania uhuru wa zamani waliungwa mkono na weusi wenzao kwa vile lengo lilikuwa kupata uhuru, lakini kwenye harakati za sasa za Mbowe na Chadema ni kuleta usawa kwenye nchi kwa kuleta katiba itakayowaondoa miungu watu, hii kazi si nyepesi na imejaa mamluki wengi mno, hapa ndipo Mbowe anapokuwa tofauti na wale wa zamani na ndio panapomuweka juu yao, ni hatari sana kufanya siasa kwenye nchi iliyojaa mamluki wanaotega mitego ya usaliti ili walipwe bakhshishi na watawala, hata hivyo Mbowe ameruka vihunzi vyote na kushinda na sasa anapambana na Polisi tu, wanasiasa walio madarakani wanamuogopa vibaya sana.

Akili hizi za hovyo kabisa, awe ndo maarufu Africa? Labda Africa ya kwenye Saccos hapo kwa baba mkwe.
 
Tulishasema hapa Mbowe ni mgumu sana kwenye siasa kwasababu wazee wa Dar-es-salaam wanamuaona kama mtoto wao. Mbowe anajulikana tokea miaka ya 1980's na wamemuona akikuwa na biashara zake leo hii hawawezi kukuelewa ukimwita majina ya ajabu. Kwa ufupi wanamjua kuliko viongozi wengine wote wa vyama vyote. Kwasababu hii haohao CCM wa Dar ndiyo watakuwa wakwanza kukuchukia na sio hata upinzani. Siasa zina mipaka na hapa serikali imeruka mipaka yake
Mbowe sio mtoto yule nimeamini. Kesi yake imevuta attention ndani na nje ya Bara la Afrika.
 
Back
Top Bottom