KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Kwani hiyo sio comment?.Toa ujinga wako huko. It is not even worth to comment.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hiyo sio comment?.Toa ujinga wako huko. It is not even worth to comment.
bila shakaWakati mwingine huwa naona erythrocyte ndiye j mukia.
Wewe ndiye unayejiona sawa na Mungu,wewe ndiye unayejiona unastahiri kuabudiwa ,wewe ndiye unajitwaliye utukufu ,wewe ndiye usiye Fikiri kuhusu kifo Wala LAANA kisa una lipwa na CCM.Na wewe unangoja kufariki lini; au unafikiri hautafariki?
hiyo laaana kwa sasa inmatesa Mwenyekiti wako Mbowe.Hakuna aliye kuwa na roho kama ya MekoYa kwako Kwa sasa ni roho mbaya kupita ya Meko.Huenda kilicho muondoa duniani ilikuwa ni hiyo roho ya LAANA kama yako...
Mbona insha ndefu, vipi?Wewe ndiye unayejiona sawa na Mungu,wewe ndiye unayejiona unastahiri kuabudiwa ,wewe ndiye unajitwaliye utukufu ,wewe ndiye usiye Fikiri kuhusu kifo Wala LAANA kisa una lipwa na CCM.Jaribu kuwa na akili hata kidogo kwenye kaburi lako CCM haitakuwepo,kwenye adhabu ya moto wa milele CCM na serikali unayoipigania pasipo akili na kuvuna dhambi na laana ya familia yako CCM hairakuwepo
Kipindi cha JK alienda Samia akiwa waziriLini Mbowe alikwenda Ikulu na kusalimiana na rais Samia kama sio uongo wako? Umezidi hebu punguza kidogo.
MatUsi ya nini mtanzaniaSiasa sio uwadui bwege wewe
Nimekusoma , tena mara mbili mkuu Erythro ili nihakikishe sikukosa kuelewa ulichoandika hapa.Moderator Hukutakiwa kukerwa na heading niliyoweka , nimekuwekea ninachokijua ndani ya uzi kama ushahidi wa Mbowe kuwa juu ya wazee wetu wa zamani ...
Unajua hawa mods wakati mwingine wanakuwa watu wa kawaida wenye upande wao, kwahiyo nyuzi zingine zinawaumiza , ndio maana sometimes tunawakumbusha kwamba jf ni jukwaa huru , as long as mleta uzi hajatukana huna haja ya kukerekaNimekusoma , tena mara mbili mkuu Erythro ili nihakikishe sikukosa kuelewa ulichoandika hapa...
Hilo ndio lengoHuu uzi utawapandisha mataga kisukari kabisa
Joined 2 /7/2021Mods huu Uzi upelekeni jukwaa la utani na udaku
acha ujingaKuwataja hao miamba wa Africa naona umeharibu uzi kabisa, siamini kama amefikia huko japo ana abcd zake positive.
Hakuna mwanasiasa Africa anayepigania maslahi ya wananchi, wapumbavu na wajinga pekee ndiyo wanaamini hivyoacha ujinga
Mbowe ndomwenyekiti bora afrika mudawote anapigania haki bila kutumia mbinu za umwagaji damu ..uvccm bana
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Wewe ndiyo mkuu wa hao wapumbavu na wajingaHakuna mwanasiasa Africa anayepigania maslahi ya wananchi, wapumbavu na wajinga pekee ndiyo wanaamini hivyo