Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #121
Mbowe ni Shujaa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri ni namba tuMara inatokea Mbowe anafungwa na anapokuja kutoka anakuwa Raisi kama Chakware na mandera baasa ya kutumikia kifungo kama miaka 30 jela utakuwa ni ushindi mkubwa sana miaka hiyo na CCM itakuwa mwisho kabisa.
Ambapo kwa kadilio la chini atakuwa na miaka 85 kama babu wa taifa.
Uzi una nguvu za kutosha na baraka piaKuwataja hao miamba wa Africa naona umeharibu uzi kabisa, siamini kama amefikia huko japo ana abcd zake positive.
Achana na mgonjwa huyoUsinilishe maneno, wapi nimeyasema hayo?
Siyo kila mwenye nywele ana akili timamuMeko alijitaidi kumpoteza akapotea yye na huyu wa saizi itakuwa hivyo hivyo
Maoni ya mzee jelaGaidi namba moja nchini
HakikaThis nigga is a Michael Jordan of this shit
Hakuna mpuuzi yeyote CCM anaemuweza
Wameishia kumfungulia michongo ili mahakama iwasaidie kuwafanyia siasa against Mbowe
What a bunch of cowards!
Mungu mbariki MboweMwamba anakubalika si Africa tu bali duniani kote..
Usishangae baada ya haka ka kesi uchwara kakiisha basi ataalikwa kwenye makongamano makubwa ya kidemokrasia duniani.
Je mama mkwe na Kaka yake Mbowe hatunao,nao walitaka kumupoteza Mbowe?Meko alijitaidi kumpoteza akapotea yye na huyu wa saizi itakuwa hivyo hivyo
sasa unalia nini ?Anatajwa na nani? Si ndo wewe umemutaja?,
haki zipi anazopigania?
Kama kukaa magereza ndo umaarufu basi Sugu ndo shujaa,maana yeye alitumikia mpaka kifungo.
Sitoi !Toa ujinga wwako hapa
Una Uhakika ?Ni Zombie aliyetoa hiyo kitu.
una maana gani ?ni kusifu na kuabudu tu.
mbowe yupo juu ya Nyerere??Mungu ibariki JF