Freeman Mbowe ndiye mpigania haki maarufu zaidi barani Afrika kwa sasa

Freeman Mbowe ndiye mpigania haki maarufu zaidi barani Afrika kwa sasa

Mara inatokea Mbowe anafungwa na anapokuja kutoka anakuwa Raisi kama Chakware na mandera baasa ya kutumikia kifungo kama miaka 30 jela utakuwa ni ushindi mkubwa sana miaka hiyo na CCM itakuwa mwisho kabisa.

Ambapo kwa kadilio la chini atakuwa na miaka 85 kama babu wa taifa.
 
Duh kwahiyo aende jela miaka 30 na akitoka apewe nchi hakika haiwezekani,, na hawezi kuwa the same to Mandela sababu hatafungwa
 
Mara inatokea Mbowe anafungwa na anapokuja kutoka anakuwa Raisi kama Chakware na mandera baasa ya kutumikia kifungo kama miaka 30 jela utakuwa ni ushindi mkubwa sana miaka hiyo na CCM itakuwa mwisho kabisa.
Ambapo kwa kadilio la chini atakuwa na miaka 85 kama babu wa taifa.
Mbowe ni mpigania haki mkubwa Africa ni kweli level yake ni ya akina Mandela.
 
Back
Top Bottom