Freeman Mbowe ndiye mpigania haki maarufu zaidi barani Afrika kwa sasa

Freeman Mbowe ndiye mpigania haki maarufu zaidi barani Afrika kwa sasa

Meko alijitaidi kumpoteza akapotea yye na huyu wa saizi itakuwa hivyo hivyo
Alitumia vyombo vya dola kublocl kila biashara yake kwa jasho na damu na bado alishindwa mwisho wa Siku Mbowe akawa mshindi.

Hata Mama atashindwa tu
 
Mbowe ni tajiri, anatakiwa aachane na siasa aenjoy utajiri wake

watanzania wengi ni mambumbuuu kuwapiginia haki zao wenyewe ni kujitesa tuu.

Wameshazoea kupelekeshwa kama mang'ombe.
Mbowe anaongozwa na Dhamiri. Ni Matajiri wachache sana wanaungana na maskini kupambania haki. Matajri wengi wanaangalia maslahi yao yanavyokwenda mebgine usiwaulize hata mkafa nyote yeye hajali.

Hii kitu kwa Mbowe kinatufundiaha uzalendo uliotukuka.

He is a bilionare everynone knows
 
Mbowe anaongozwa na Dhamiri. Ni Matajiri wachache sana wanaungana na maskini kupambania haki. Matajri wengi wanaangalia maslahi yao yanavyokwenda mebgine usiwaulize hata mkafa nyote yeye hajali.

Hii kitu kwa Mbowe kinatufundiaha uzalendo uliotukuka.

He is a bilionare everynone knows
FB_IMG_1570488518462.jpg
 
Tunaliomba Jeshi la Polisi pia lifuatilie nyenendo za viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wake ambao kimsingi walifurahia sana kitendo cha Gaidi Hamza kuwauwa Askari wetu.
hii inathibitisha kuwa viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wao wana kila dalili za kujihusisha na vitendo vya Kigaidi ndio maana walifurahia vitendo vilivyo fanywa na Hamza.
ni muhimu sana wafuatiliwe popote pale walipo ktk kila kona ya nchi hii.
tusowafuge wala kuwalea.
nasisitiza tena Jeshi la Polisi kamwe lisivumilie vitendo vya viongozi wa chadema na baadhi ya wafuasi.
Hakuna cha siasa za kimalaya wala nini. Hilo ligaidi lenu litaendelea kusota tu.
Hakuna aliye kuwa na roho kama ya MekoYa kwako Kwa sasa ni roho mbaya kupita ya Meko.Huenda kilicho muondoa duniani ilikuwa ni hiyo roho ya LAANA kama yako.Mungu aonaye sirini na ukulipe sawa sawa na mapenzi yake.Ukapate unacho sitahiri wewe na familia yako ili upate kusimulia.CCM ni chama tu kitapita ,serikali inayo kulipa hela itapita lakini roho ipo siku itadaiwa unayo yafanya kisa vipande vya fedha unavyo lipwa .Narudia tena acha kuvuna LAANA juu ya watoto wako na familia yako.Acha kula hela ya damu
 
Hakuna aliye kuwa na roho kama ya MekoYa kwako Kwa sasa ni roho mbaya kupita ya Meko.Huenda kilicho muondoa duniani ilikuwa ni hiyo roho ya LAANA kama yako.Mungu aonaye sirini na ukulipe sawa sawa na mapenzi yake.Ukapate unacho sitahiri wewe na familia yako ili upate kusimulia.CCM ni chama tu kitapita ,serikali inayo kulipa hela itapita lakini roho ipo siku itadaiwa unayo yafanya kisa vipande vya fedha unavyo lipwa .Narudia tena acha kuvuna LAANA juu ya watoto wako na familia yako.Acha kula hela ya damu
Meko alikuwa Mafia kuliko Mtu yeyote hapa duniani
 
Back
Top Bottom