HahaaMambo ni motoo Chadema mbele kwa mbele....mwendo mdundo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaMambo ni motoo Chadema mbele kwa mbele....mwendo mdundo
Wewe hutii aibu?unatia aibu sana !
Alitumia vyombo vya dola kublocl kila biashara yake kwa jasho na damu na bado alishindwa mwisho wa Siku Mbowe akawa mshindi.Meko alijitaidi kumpoteza akapotea yye na huyu wa saizi itakuwa hivyo hivyo
Mbowe anaongozwa na Dhamiri. Ni Matajiri wachache sana wanaungana na maskini kupambania haki. Matajri wengi wanaangalia maslahi yao yanavyokwenda mebgine usiwaulize hata mkafa nyote yeye hajali.Mbowe ni tajiri, anatakiwa aachane na siasa aenjoy utajiri wake
watanzania wengi ni mambumbuuu kuwapiginia haki zao wenyewe ni kujitesa tuu.
Wameshazoea kupelekeshwa kama mang'ombe.
Alitumia vyombo vya dola kublocl kila biashara yake kwa jasho na damu na bado alishindwa mwisho wa Siku Mbowe akawa mshindi.
Hata Mama atashindwa tu
Akili hizi za hovyo kabisa, awe ndo maarufu Africa? Labda Africa ya kwenye Saccos hapo kwa baba mkwe.
Wivu wa kimalaya malaya tuGaidi namba moja nchini
heheh kweli? Tutafurahi kama March 17?dalili zishaanza kuonekana tuwe na subira tu
Magufuli alifariki 17.03.2021.Alikuwa ni zaidi yako lakini alifarikiWewe hutii aibu?
Mbowe anaongozwa na Dhamiri. Ni Matajiri wachache sana wanaungana na maskini kupambania haki. Matajri wengi wanaangalia maslahi yao yanavyokwenda mebgine usiwaulize hata mkafa nyote yeye hajali.
Hii kitu kwa Mbowe kinatufundiaha uzalendo uliotukuka.
He is a bilionare everynone knows
Tunaliomba Jeshi la Polisi pia lifuatilie nyenendo za viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wake ambao kimsingi walifurahia sana kitendo cha Gaidi Hamza kuwauwa Askari wetu.
hii inathibitisha kuwa viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wao wana kila dalili za kujihusisha na vitendo vya Kigaidi ndio maana walifurahia vitendo vilivyo fanywa na Hamza.
ni muhimu sana wafuatiliwe popote pale walipo ktk kila kona ya nchi hii.
tusowafuge wala kuwalea.
nasisitiza tena Jeshi la Polisi kamwe lisivumilie vitendo vya viongozi wa chadema na baadhi ya wafuasi.
Hakuna aliye kuwa na roho kama ya MekoYa kwako Kwa sasa ni roho mbaya kupita ya Meko.Huenda kilicho muondoa duniani ilikuwa ni hiyo roho ya LAANA kama yako.Mungu aonaye sirini na ukulipe sawa sawa na mapenzi yake.Ukapate unacho sitahiri wewe na familia yako ili upate kusimulia.CCM ni chama tu kitapita ,serikali inayo kulipa hela itapita lakini roho ipo siku itadaiwa unayo yafanya kisa vipande vya fedha unavyo lipwa .Narudia tena acha kuvuna LAANA juu ya watoto wako na familia yako.Acha kula hela ya damuHakuna cha siasa za kimalaya wala nini. Hilo ligaidi lenu litaendelea kusota tu.
May Our Lord God Bless him.
Meko alikuwa Mafia kuliko Mtu yeyote hapa dunianiHakuna aliye kuwa na roho kama ya MekoYa kwako Kwa sasa ni roho mbaya kupita ya Meko.Huenda kilicho muondoa duniani ilikuwa ni hiyo roho ya LAANA kama yako.Mungu aonaye sirini na ukulipe sawa sawa na mapenzi yake.Ukapate unacho sitahiri wewe na familia yako ili upate kusimulia.CCM ni chama tu kitapita ,serikali inayo kulipa hela itapita lakini roho ipo siku itadaiwa unayo yafanya kisa vipande vya fedha unavyo lipwa .Narudia tena acha kuvuna LAANA juu ya watoto wako na familia yako.Acha kula hela ya damu
sasa yuko wapi ?Meko alikuwa Mafia kuliko Mtu yeyote hapa duniani
he is rotting in Hell. Waliomdanganya bado wanatusua mjini.sasa yuko wapi ?
Na wewe unangoja kufariki lini; au unafikiri hautafariki?Magufuli alifariki 17.03.2021