Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Sikutolewa gerezani kwasababu kuna mtu ananipenda, nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi sana.
========
Freeman Mbowe: Tulianza kama chama kidogo, leo ni chama kikubwa dunia inakitambua hata CCM waliokuwa hawatutambui kupitia kesi hii wametambua kwamba CHADEMA ni jeshi kubwa na hilo jeshi kubwa limekuwepo kwasababu kuna mmoja, wapili, watatu, wanne kwahiyo pamoja na matatizo na hofu mliyonayo tuwe wazito sana kuwapoteza wenzetu, isiwe ndio utamaduni wetu, utamaduni wetu tukumbatiane kama watoto wa maam mmoja kwasababu nguvu ya CHADEMA ni upendo na umoja wetu.
Hatuna majeshi, hatuna silaha lakini umoja wetu umekuwa ni silaha yetu kubwa sana na silaha hii ya umoja huu ndio imenitoa mimi gerezani, sikutoka gerezani eti kwasababu mtu ananipenda, nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi sana nguvu ya vyombo vyao vya dola ndio sababu nikatoka ndani, kwasababu ya wingi na umoja wetu.
========
Freeman Mbowe: Tulianza kama chama kidogo, leo ni chama kikubwa dunia inakitambua hata CCM waliokuwa hawatutambui kupitia kesi hii wametambua kwamba CHADEMA ni jeshi kubwa na hilo jeshi kubwa limekuwepo kwasababu kuna mmoja, wapili, watatu, wanne kwahiyo pamoja na matatizo na hofu mliyonayo tuwe wazito sana kuwapoteza wenzetu, isiwe ndio utamaduni wetu, utamaduni wetu tukumbatiane kama watoto wa maam mmoja kwasababu nguvu ya CHADEMA ni upendo na umoja wetu.
Hatuna majeshi, hatuna silaha lakini umoja wetu umekuwa ni silaha yetu kubwa sana na silaha hii ya umoja huu ndio imenitoa mimi gerezani, sikutoka gerezani eti kwasababu mtu ananipenda, nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi sana nguvu ya vyombo vyao vya dola ndio sababu nikatoka ndani, kwasababu ya wingi na umoja wetu.