Freeman Mbowe: Nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi nguvu ya vyombo vyao vya dola

Freeman Mbowe: Nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi nguvu ya vyombo vyao vya dola

Nimeacha kuwaamini wanasiasa kutokana na kauli hizi na matendo haya. Naona Mbowe anafurahia kuwa kiongozi wa upinzani katika taifa la wadanganywa nyika (watanganyika). Maana ni rahisi kuongea lolote na wadanganywa nyika wakamuamini. Ukute baada ya kuongea hivi, kaampigia mama simu akwambia "mama tafadhali usinielewe vibaya, hii ni katika hali ya kutuliza mizuka ya misukule yangu". Mama nae: "haya sawa mdogo wang, najua hii ndio siasa"

images (1).jpeg


download.jpeg
 
Nimeacha kuwaamini wanasiasa kutokana na kauli hizi na matendo haya. Naona Mbowe anafurahia kuwa kiongozi wa upinzani katika taifa la wadanganywa nyika (watanganyika). Maana ni rahisi kuongea lolote na wadanganywa nyika wakamuamini. Ukute baada ya kuongea hivi, kaampigia mama simu akwambia "mama tafadhali usinielewe vibaya, hii ni katika hali ya kutuliza hali ya mizuka na misukule ysngu".

View attachment 2140835

View attachment 2140836
Mawazo mengine huenda yanaathiriwa na jina, ninavyojua yupo mdudu anaitwa dumuzi huyu ni mharibufu kama alivyo kiwavi/viwavi Sasa huu ni ushauri wa Bure ukiweza libadili kutika dudumizu. Nikotayari kwa ridhaa yako kukupapendekezo.
 
Kuwasamehe tu wanasiasa ni kuwakosea pia hata wale ambao sio wanasiasa na wapo magereza bila kuwa na hiyo nguvu ya umma anayosema Mbowe.
Hii Tafsiri ya Neno "MSAMAHA" Hamlitendei Haqi! [emoji45]
 
Mawazo mengine huenda yanaathiriwa na jina, ninavyojua yupo mdudu anaitwa dumuzi huyu ni mharibufu kama alivyo kiwavi/viwavi Sasa huu ni ushauri wa Bure ukiweza libadili kutika dudumizu. Nikotayari kwa ridhaa yako kukupapendekezo.
Inashangaza kuona baadhi ya vijana mmeuza utu wenu kwa sababu ya njaa zenu.. we endelea kuwa miongoni mwa wasafisha choo wa Mbowe.
 
Mwenyekiti anatakiwa asitusahau na sisi kwenye mitandao ya kijamii;kimahususi jamiiforums ,ambao tulitumia kama Platform kupaza sauti zetu,baada ya media zingine;magazeti na TV kuhodhiwa na pro-serikali ya CCM!
 
Inashangaza kuona baadhi ya vijana mmeuza utu wenu kwa sababu ya njaa zenu.. we endelea kuwa miongoni mwa wasafisha choo wa Mbowe.
Jina basi hata Panzi,jongoo, kipepeo kama hujaridhika na mojawapo nitaingeza mengine
 
Umma una nguvu tangu lini? Hata kuandamana wanaogopa.

Kwa akili yako nguvu ya umma ni mpaka kuandamana, na kuwapa ujiko policcm wa kuwapiga watu hovyo mtaani siyo!

Kazi iliyofanyika kwenye mitandao unadhani ilikuwa ndogo eeeh!
 
Kwa akili yako nguvu ya umma ni mpaka kuandamana, na kuwapa ujiko policcm wa kuwapiga watu hovyo mtaani siyo!

Kazi iliyofanyika kwenye mitandao unadhani ilikuwa ndogo eeeh!
Kama umma unaogopa polisi umma hauna nguvu, yenye nguvu ni serikali.

"When government fears the people, there is liberty. When the people fear the government, there is tyranny." - Thomas Jefferson
 
Mwenyekiti anatakiwa asitusahau na sisi kwenye mitandao ya kijamii;kimahususi jamiiforums ,ambao tulitumia kama Platform kupaza sauti zetu,baada ya media zingine;magazeti na TV kuhodhiwa na pro-serikali ya CCM!
Usipoenda katika ofisi za chama kuonesha ulichokuwa unaandika basi utasahaulika kweli. Wenzako hii ndio ajira yao. Kila wanapotoa thread ya kuiponda serikali au kusifia upinzani hulipwa kulingana na muitikio wa thread husika, kuna wengine huwa wanatumiwa mpaka data za kuandika upupu humu jukwaani. Sasa wewe bendera fuata upepo kalaga baho.
 
F
Huyu jamaa ni zero brain,ndo maana alipata zero kwenye mtihani wa kidato Cha sita,na Wala asitake kuudanganya umma kuwa eti nguvu ya umma imemtoa kutokana na kupendwa kwake,huyu Ni muuongo mkubwa,watanzania wapi hao wanaompenda ikiwa huku niliko wakazi wake wote wanawaza CCM tu.

Aache Mara moja kuupotosha umma,auambie umma pamoja na wafusi wake kuwa isingekuwa huruma na busara za mama Samia angekufia jela!!
Fala wewe
 
Kwa akili yako nguvu ya umma ni mpaka kuandamana, na kuwapa ujiko policcm wa kuwapiga watu hovyo mtaani siyo!

Kazi iliyofanyika kwenye mitandao unadhani ilikuwa ndogo eeeh!
Na asichokijua wanachokitapika watu mitandaoni ni halisi na siku ikifika kuwa wamechoshwa na ujinga, uonevu na manyanyaso wataamua kuwafuata wahuni wote kwenye mapango waliyojificha na kuwanyofoa mmoja baada ya meingine na kuwakusanya pamoja huku wakiwaza adhabu wanayostahiki Ushauri was Bure msijitoe akili kwa kiwango hicho. 🤔
 
N
Usipoenda katika ofisi za chama kuonesha ulichokuwa unaandika basi utasahaulika kweli. Wenzako hii ndio ajira yao. Kila wanapotoa thread ya kuiponda serikali au kusifia upinzani hulipwa kulingana na muitikio wa thread husika, kuna wengine huwa wanatumiwa mpaka data za kuandika upupu humu jukwaani. Sasa wewe bendera fuata upepo kalaga baho.
Nakuona member wa SukumaGang ,kiroboto katika ubora wako.Naamini hata "Wahuni" hawapo na wewe😂😂😂
 
Usipoenda katika ofisi za chama kuonesha ulichokuwa unaandika basi utasahaulika kweli. Wenzako hii ndio ajira yao. Kila wanapotoa thread ya kuiponda serikali au kusifia upinzani hulipwa kulingana na muitikio wa thread husika, kuna wengine huwa wanatumiwa mpaka data za kuandika upupu humu jukwaani. Sasa wewe bendera fuata upepo kalaga baho.
Usiwafsnanishe wengine na zile b7 za mtaa wakijani Tena ukome walarushua nyie, Tena mnatafuna makusanyo ya mlalahoi⛹️
 
Back
Top Bottom