Freeman Mbowe: Nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi nguvu ya vyombo vyao vya dola

Freeman Mbowe: Nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi nguvu ya vyombo vyao vya dola

Mwenyekiti anatakiwa asitusahau na sisi kwenye mitandao ya kijamii;kimahususi jamiiforums ,ambao tulitumia kama Platform kupaza sauti zetu,baada ya media zingine;magazeti na TV kuhodhiwa na pro-serikali ya CCM!
Kweli kabisa.
 
Kuachiwa kombowe , mda mfupi umebaki kuwafikia wakenya kiuchumi na demokrasia.
 
Huyu jamaa ni zero brain,ndo maana alipata zero kwenye mtihani wa kidato Cha sita,na Wala asitake kuudanganya umma kuwa eti nguvu ya umma imemtoa kutokana na kupendwa kwake,huyu Ni muuongo mkubwa,watanzania wapi hao wanaompenda ikiwa huku niliko wakazi wake wote wanawaza CCM tu.

Aache Mara moja kuupotosha umma,auambie umma pamoja na wafusi wake kuwa isingekuwa huruma na busara za mama Samia angekufia jela!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] house girl wa Chongoro,,,utampenda Mbowe
 
Sikutolewa gerezani kwasababu kuna mtu ananipenda, nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi sana
Ohooo... haa subirini sasa, kumbuka aliitwa ikulu toka magerezani ata kukoga alikuwa hajakoga na ana mavumbi vumbi ya jela, chadema imebaki jina tu wakubwa chama washakitia mifukoni zamani
 
Uko sahihi
Kama umma unaogopa polisi umma hauna nguvu, yenye nguvu ni serikali.

"When government fears the people, there is liberty. When the people fear the government, there is tyranny." - Thomas Jefferson
 
Huyu jamaa ni zero brain,ndo maana alipata zero kwenye mtihani wa kidato Cha sita,na Wala asitake kuudanganya umma kuwa eti nguvu ya umma imemtoa kutokana na kupendwa kwake,huyu Ni muuongo mkubwa,watanzania wapi hao wanaompenda ikiwa huku niliko wakazi wake wote wanawaza CCM tu.

Aache Mara moja kuupotosha umma,auambie umma pamoja na wafusi wake kuwa isingekuwa huruma na busara za mama Samia angekufia jela!!
Kanywe mavi
 
Hakuna anayepinga hilo, hata CCM wanaojielewa walikuwa upande wa haki kwenye issue ya Mbowe ndio maana pressure ikazidi kwa mamlaka.

Laiti kama moto ule wangeuelekeza kwenye Katiba Mpya leo tungekuwa na Tanzania mpya kabisa isiyo na matabaka ya aina yoyote huku wote tukiwa kitu kimoja kwenye taifa moja.

Sasa asubiriwe Mbowe na viongozi wa chama chake waje kuongea na waandishi wa habari na watz kwa ujumla kama alivyosema juzi, yeye ndie atatoa "a way forward" juu ya nini kinafuata kwenye harakati za kudai haki.

Sio kuokoteza maneno ya mitaani Mbowe amejisalimisha kwa watawala, wengine eti CCM wanajua michezo ya siasa, wangeijua hiyo michezo wasingeiba kura kila uchaguzi mkuu unapofika, wamezeeka hakuna wanachojua.
Hivi katika suala la Mbowe unaisifu CCM kwa lipi labda? Nimesoma andiko lile la trick za CCM nimebaki nashangaa tu japo ni maoni binafsi lakini yanapotolewa na mtu tunayemheshimu humu JF unajiuliza mwenzetu kapatwa na nini?
 
Huyu jamaa ni zero brain,ndo maana alipata zero kwenye mtihani wa kidato Cha sita,na Wala asitake kuudanganya umma kuwa eti nguvu ya umma imemtoa kutokana na kupendwa kwake,huyu Ni muuongo mkubwa,watanzania wapi hao wanaompenda ikiwa huku niliko wakazi wake wote wanawaza CCM tu.

Aache Mara moja kuupotosha umma,auambie umma pamoja na wafusi wake kuwa isingekuwa huruma na busara za mama Samia angekufia jela!!
Wewe unasema hakuna nguvu ya umma halafu unasema ana wafuasi, hivi wengine vichwa mnamiliki vya kazi gani?
 
Wanafanya kweli makosa ila wanatumia mwamvuli wa kisiasa kupata huruma kama hivi.

We chukulia mfano tu wa kesi hii ya Mbowe angekua mwananchi wa kawaida.

Kuna ambaye angeliga kelele asamehewe??

Au baada ya kusamehewa aitwe ikulu??

Hawa wanasiasa wanajua kucheza tu na akili za wafuasi wao ila kimsingi sio watu safi sana kama tunavyofikiri.
Kuna mtu mwenye kujitambua umesikia anasema Mbowe asamehewe? Mtu anasamehewa bila kosa? Mnalazimisha ionekane Mbowe ana hatia lakini imeshindikana.
 
Sasa wale wanaomshukuru mama je? Si kwamba yeye ndiyo kakutoa?

Muwe na shukrani hata kidogo basi doooh, bila mama asingetoka, hiyo nguvu ya umma haina adhari yoyote,

Amekaa hapo miezi nane mbona nguvu ya umma hakuna kitu imefanya
 
Masikini akipata......., anauzungumzia umma upi!?
 
"NGUVU YA UMMA IMENITOA GEREZANI".


CHADEMA hawajawahi kuishiwa na akiba ya mbwembwe na vituko,kiasi kwamba dola ukiwa na roho nyepesi unaweza ukajutia busara yako kwamba kwanini nilifanya busara hii kwa hawa watu ambao hawana busara ya kusema asante!

Ni siku moja tu baada ya kutoka Magereza pale Ukonga, Mwenyekiti wetu wa CDM Taifa kufutiwa mashitaka ya Ugaidi,jana amenukuliwa na vyombo vya HABARI hasa mtandao wa Mwanahalisi online akisema haya.

"NGUVU YA UMMA NDIO IMENITOA GEREZANI KWANI NGUVU YA UMMA ILIIZIDI NGUVU YA DOLA"[emoji1787][emoji13][emoji13][emoji13].

Mwenyekiti Mbowe amesahau jinsi ambavyo juhudi za kaka yangu Mh. Zitto Zuberi Kabwe zilivyoshindikana kumtoa pale Magereza ya Ukonga,anasahau juhudi za wanawake wa CDM ambao walienda kulala ubalozi wa ujerumani wakiwa na mabango pia zilishindwa,anasahau juhudi za Serikali za ulaya zilizopiga kelele na kuja kisutu pia zilishindwa!

Nguvu za umma ni zipi?yaani baada ya siku moja Mzee wangu Mbowe anataka kuwazodoa maaskofu na mashehe wetu walikwenda Ikulu kumuombea MSAMAHA,yaani anasahau kuwa viongozi wa dini hauwezi kuwaita nguvu ya umma?Hawa wanaweza kuitwa "mediators".

Siku moja tu Mzee wangu Freeman Mbowe kabla hata hajafanya kile nilichokisema jana kwenye makala yangu yaani doing a "POLITICAL GROUP APPRECIATION"kabla hajaamua kusema lolote, ameanza kujitapa kuwa nguvu ya "Umma wa CDM" ndio wamechangia kumtoa magereza.

Ni Mzee wangu Mbowe huyu huyu alipokuwa Ikulu juzi alisema anamshukuru Mh.RAIS Samia kwa usikivu!Je,Mbowe anataka kusema nguvu ya umma ndio ilimfanya Mh.RAIS Samia na serikali waachane na kesi Ile?Mbowe anataka kusema Mh.Rais alipigwa sana na pressure mpaka akaamua kufuta kesi so haikuwa busara Bali nguvu ya CDM na watu wao!Khaa![emoji2371][emoji2371]

Mbowe haoni kuwa anaitukana mahakama ya Tanzania?anamtukana RAIS Samia,zaidi anawatukanisha viongozi wangu wa dini?Haoni!

Mzee wangu Freeman Mbowe jana amenukuliwa akisema"nguvu ya umma iliizidi nguvu ya Dola".ndio Maana yupo nje![emoji13][emoji13][emoji13]

Kwa kifupi anataka kusema Dola ya Mama Samia ndio imeshindwa katika vita ile na nguvu ya CDM ndio imeshinda katika kesi ile?Nguvu ipi?

Ni muhimu sana CDM kwa sasa kupima kauli zao dhidi ya Mh.Rais na la muhimu zaidi wajifunze maneno nililolisema jana kwamba wafanye "Appreciation" kabla ya kuja na kuanza kuongea maneno haya!Gharama yake ni kubwa!

Kwa kifupi maneno yao haya yanafunga njia yao ya baadae katika kujenga mahusiano mazuri DHIDI ya Dola!

Nawaza tu,ni ruhusa kunikosoa!
 
Hakuna anayepinga hilo, hata CCM wanaojielewa walikuwa upande wa haki kwenye issue ya Mbowe ndio maana pressure ikazidi kwa mamlaka.

Laiti kama moto ule wangeuelekeza kwenye Katiba Mpya leo tungekuwa na Tanzania mpya kabisa isiyo na matabaka ya aina yoyote huku wote tukiwa kitu kimoja kwenye taifa moja.

Sasa asubiriwe Mbowe na viongozi wa chama chake waje kuongea na waandishi wa habari na watz kwa ujumla kama alivyosema juzi, yeye ndie atatoa "a way forward" juu ya nini kinafuata kwenye harakati za kudai haki.

Sio kuokoteza maneno ya mitaani Mbowe amejisalimisha kwa watawala, wengine eti CCM wanajua michezo ya siasa, wangeijua hiyo michezo wasingeiba kura kila uchaguzi mkuu unapofika, wamezeeka hakuna wanachojua.

Ni ile timu ya mangedere ngabu. Hata ufanyeje wataokoteza na hata kupika.

Wako kazini hao.

IMG_20220305_151655_415.jpg


Nia yao ni kumgombanisha Mbowena CDM dhidi ya mama hata na kwa sababu zozote hata kama ni za kijinga.

La kujivunia mama kamsikia Mbowe na Lissu one to one.

Akijichanganya hiyo itakuwa ni shauri yake.

Kwa majina yao wako humu:

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
 
Kwa hiyo ametoka kwa msamaha wa Rais siyo! Au yule Sheikh?

Maana tunacho fahamu sisi wengine ni kwamba DPP aliamua kuweka mpira kwapani ili kuifichia serikali aibu baada ya polisi wasio waaminifu kumbambikia huyo Mheshimiwa kesi ya ugaidi na madawa ya kulevya.
 
Unapuuza nguvu ya umma unafeli. Hizo kelele zilizopigwa toka kila upande ndio zimemfanya Samia akubali matokeo, huwezi kuhangaika kuzunguka dunia yote wakati wale unaowaongoza hawana amani na imani na matendo ya serikali yako, sharti uwaridhishe kwanza kwa kuwasikiliza na kuwatimizia mahitaji yao kama kweli una nia ya dhati ya kuwaongoza.
 
Back
Top Bottom