Pre GE2025 Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mitanzani ni mijitu minafiki Sana ivi imagine baba wa Taifa angelazimisha kukaa madarakani mwaka 1985 halafu aje labda atolewe kwa nguvu na jeshi angekuwa na heshima yeyote katika nchi hii?

Lazima tujifunze kuwajibika kwenye Jambo lolote hakuna mtu special kwenye taasisi anayeweza kukaa miaka 20 taasisi inaanguka halafu bado anataka kukaa tu pale huu ni ujinga.

Hili sio hata swala la kujiuliza kwa masaa 48 ni swala la kusema tu kwamba Mimi sigombei over!

Mbowe mbowe mbowe nimekuita Mara tatu Kama utabishana ukweli utakuwa na mwisho mbaya Sana kwa laana za Watanzania wapenda mabadiliko!!

Watu account zetu zilishafungwa kwa sababu ya hiki chama

Tenda zetu tulishazuiwa kulipwa kwa sababu ya hiki chama

Watu wameteswa wengine hawana hatia Kama wakina Akwilina maisha yao yamekatishwa Leo hii chama hiki kiishie hewani tu aisee!!

Think twice leave!!
Mbowe katugeuza mandondocha
 
..hiyo Jumamosi aseme anang'atuka.

..Wenyeviti Wastaafu wa Chadema ni wajumbe wa kamati kuu wa kudumu wa chama.

..Mbowe aking'atuka ataendelea kuwa Mzee, Mshauri, na Mjumbe wa Kamati Kuu.
 
..hiyo Jumamosi aseme anang'atuka.

..Wenyeviti Wastaafu wa Chadema ni wajumbe wa kamati kuu wa kudumu wa chama.

..Mbowe aking'atuka ataendelea kuwa Mzee, Mshauri, na Mjumbe wa Kamati Kuu.
Mimi sielewi kwa nini zinafanyika juhudi za ziada kumtaka ang'atuke. Mimi nadhani akiamua kung'atuka ang'atuke jumla ili asionekane kama ataka kuendelea kuongoza kwa remote. Amuachie Mwenyekiti akijenge upya chama kwa mfano wake. Asiwe kama Zitto.

Amandla...
 
Mitanzani ni mijitu minafiki Sana ivi imagine baba wa Taifa angelazimisha kukaa madarakani mwaka 1985 halafu aje labda atolewe kwa nguvu na jeshi angekuwa na heshima yeyote katika nchi hii?

Lazima tujifunze kuwajibika kwenye Jambo lolote hakuna mtu special kwenye taasisi anayeweza kukaa miaka 20 taasisi inaanguka halafu bado anataka kukaa tu pale huu ni ujinga.

Hili sio hata swala la kujiuliza kwa masaa 48 ni swala la kusema tu kwamba Mimi sigombei over!

Mbowe mbowe mbowe nimekuita Mara tatu Kama utabishana ukweli utakuwa na mwisho mbaya Sana kwa laana za Watanzania wapenda mabadiliko!!

Watu account zetu zilishafungwa kwa sababu ya hiki chama

Tenda zetu tulishazuiwa kulipwa kwa sababu ya hiki chama

Watu wameteswa wengine hawana hatia Kama wakina Akwilina maisha yao yamekatishwa Leo hii chama hiki kiishie hewani tu aisee!!

Think twice leave!!
Mbowe anaanza kuwa wa hovyo sasa, Yani siku zote alishindwa kutoa majibu Hadi jmosi,

Si kwamba alishatangaza kwamba hatagombea Tena uenyekiti,

Anaiangamiza CDM aliyoipigania kwa tamaa zake,
Tunaelekea kule kwa Lipumba na Maalim Seif
 
..hiyo Jumamosi aseme anang'atuka.

..Wenyeviti Wastaafu wa Chadema ni wajumbe wa kamati kuu wa kudumu wa chama.

..Mbowe aking'atuka ataendelea kuwa Mzee, Mshauri, na Mjumbe wa Kamati Kuu.
Aondeoke akama vipi baada ya miaka mitanao arejee tena kugombea uwenyekiti wake
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa.

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi

====================================================

  • Akiwa anazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake, Freeman Mbowe amesema kuwa anahitaji muda zaidi mpaka siku ya Jumamosi.

  • Mbowe alidokeza kuwa ataongea na wanahabari kuhusu uamuzi kuanzia saa 5 asubuhi


Lissu amemfikisha pabaya Mbowe. Maskini nimemuona Erythrocyte akitokwa machozi
 
Aondeoke akama vipi baada ya miaka mitanao arejee tena kugombea uwenyekiti wake

..miaka mitano ijayo atakuwa anakaribia miaka 70.

..kwa maoni yangu huo sio umri sahihi wa kuongoza siasa za upinzani ktk mazingira ya Kitanzania.
 
anabidi kukaa pembeni apishe watu wenye akili kubwa wakae hapo

miaka 20 ameshindwa kuitoa ccm madarakani maana yake hana mbinu mbadala.
 
Mimi sielewi kwa nini zinafanyika juhudi za ziada kumtaka ang'atuke. Mimi nadhani akiamua kung'atuka ang'atuke jumla ili asionekane kama ataka kuendelea kuongoza kwa remote. Amuachie Mwenyekiti akijenge upya chama kwa mfano wake. Asiwe kama Zitto.

Amandla...

..kuwe na balance.

..ang'atuke kwa HESHIMA.

..asing'atuke kwa namna ambayo itaonekana kama amelazimishwa, na chama haki-appreciate utumishi wake.

..Katiba ya chama ndio inaelekeza Wenyeviti Wastaafu kuwa wajumbe wa kamati kuu. Hilo sio jambo jipya lililoibuliwa muda huu.
 
Mitanzani ni mijitu minafiki Sana ivi imagine baba wa Taifa angelazimisha kukaa madarakani mwaka 1985 halafu aje labda atolewe kwa nguvu na jeshi angekuwa na heshima yeyote katika nchi hii?

Lazima tujifunze kuwajibika kwenye Jambo lolote hakuna mtu special kwenye taasisi anayeweza kukaa miaka 20 taasisi inaanguka halafu bado anataka kukaa tu pale huu ni ujinga.

Hili sio hata swala la kujiuliza kwa masaa 48 ni swala la kusema tu kwamba Mimi sigombei over!

Mbowe mbowe mbowe nimekuita Mara tatu Kama utabishana ukweli utakuwa na mwisho mbaya Sana kwa laana za Watanzania wapenda mabadiliko!!

Watu account zetu zilishafungwa kwa sababu ya hiki chama

Tenda zetu tulishazuiwa kulipwa kwa sababu ya hiki chama

Watu wameteswa wengine hawana hatia Kama wakina Akwilina maisha yao yamekatishwa Leo hii chama hiki kiishie hewani tu aisee!!

Think twice leave!!
Kwa hiyo sasa mmeanza kutoa laana kwa Mbowe sio Kwa maccm tena?
 
Back
Top Bottom