OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kushindana washindane Chadema,ushindi wa Mbowe na Lissu uwaume CCM.huu ni uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume ya WariobaNani kayatangaza haya matokeo?!
Naunga mkono hojaPatriot, Mbowe anawauma sana. Na figisu zote za kuhama hama vyama ila lengo lao la kumuondoa mbowe na kuweka pandikizi lao vimeshindikana. Sasa vinena vimeanza kuvimba kwa hasira. Mbowe ni jemedari kweli kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni special hata wana CCM nguli wanalijua hiloNa lisu nae kapewa nafasi ya kujinadi?
Yaani kwa kugombea tu dhidi ya Mbowe, mnamwita pandikizi! Iko wapi haki na demokrasia mnayoihubiri?Afadhali! Mwambe asante kwa kuleta ushindani lakini wewe ni pandikizi! Hongera Mbowe, Hongera Lisu!
Vip bado hajaiona hii????, akili yake anaijua mwenyewe bana.Pascal Mayalla usijifanye hujaona hii njoo huku uhesabike
Vip bado hajaiona hii?, akili yake anaijua mwenyewe bana.
CC: Pascal MayallaPascal Mayalla usijifanye hujaona hii njoo huku uhesabike
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pascal Mayalla usijifanye hujaona hii njoo huku uhesabike
Nipo sana, naanda bandiko la pongezi.
Hapana, kauli alizozitoa kwenye media zinaonyesha kuwa siyo mwenzao na CDM! Huwezi kusema kuwa ruzuku ni ya watu wachache, kundi dogo. Hiyo siyo kauli nzuri. Ana evidence gani kuwa zinaliwa? Ni maneno ya kipuuzi! Outright mimi nakuondoa kwenye kundi! yanini kusema kwenye mitandao ya kijamii kuwa utajenga jengo. hayo yaseme kwenye kampin. Unajua kuwa kuna amtu kaapa kuua upinzani, leo unatoa kauli zinazoweza kuleta mfarakano!Yaani kwa kugombea tu dhidi ya Mbowe, mnamwita pandikizi! Iko wapi haki na demokrasia mnayoihubiri?
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
asante mystery! Mimi naipenda chadema.Hongera zao mashujaa wetu Freeman Mbowe na Tundu Lissu na hakika "wishes" za jamaa zetu wa Lumumba za kutupenyezea wasaliti wao zimeshindwa!
Hakika uwepo wa chama cha CHADEMA ni mpango wa Mungu na yeyote anayetamani kukiua chama hicho atapambana na hasira za Mungu wetu aliye Mkuu kuliko kitu chochote hapa duniani
Dodoma ni makao mkuu ya nchi....na ofisi nyingi za kiserikali zipo Dodoma ambazo chama kinaweza kufanya Nazo kazi Kwa urahisi...
Wewe hufai kabisa rafiki yangu. Msukuma Jiwe (ingawa per se Jiwe siyo msukuma) amekugeuza. Hauko objective... you are reasoning issue on partisan lines/tribal lines, very skewed reasoning!Nipo sana, naanda bandiko la pongezi.
P
CCM watabisha hata hili, maana wao kuchaguana hawajui wamezoea KUTEULIWA.