Freeman Mbowe, Said Issa na Tundu Lissu, washinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu CHADEMA

Freeman Mbowe, Said Issa na Tundu Lissu, washinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu CHADEMA

Mimi nilimtaka Mwambe ila basi tu. Sasa aanze na agenda ya kujenga ofisi yenye hadhi.
 
Uchaguzi wa ccm hata huwa haufanyiki na hata ukifanyika kabla ya mgombea tu kuanza kujitangaza wananza kumjaza mashtaka ya uhunum uchumi, jifunzeni kwa baba lao chadema sio cuf wala ccm
Hatuwezi kujifunza kuchagua mwenyekiti wa milele. Sisi tunataka kuona demokrasia ya watu kupokezana uongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom