MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
MI 5 nyingine watapa tabu saaana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ajue maana ya uchaguzi Sumaye?! Sasa kwanini alikimbia hata kabla ya uchaguzi, au ile aibu ya kushindwa ndiyo alikuwa akiikimbia?!
Hongera zao sana; jukumu lao kubwa ni kuijenga CHADEMA.
Hivi mkuu pamoja na maneno yote Mbowe na Lisu wana kipi kipya watakileta ili kuivusha chadema Kwenda Ikulu, kilichoshindika kwa miaka zaidi ya 20?Hongera zao mashujaa wetu Freeman Mbowe na Tundu Lissu na hakika "wishes" za jamaa zetu wa Lumumba za kutupenyezea wasaliti wao zimeshindwa!
Hakika uwepo wa chama cha Chadema ni mpango wa Mungu na yeyote anayetamani kukiua chama hicho atapambana na hasira za Mungu wetu aliye Mkuu kuliko kitu chochote hapa duniani
Alete ushaidi Basi hatua za kinidhamu zichukuliwe na viongozi wa chama na wanachama
Alete ushaidi Basi hatua za kinidhamu zichukuliwe na viongozi wa chama na wanachama
Nipo nimeona na pongezi zangu nitazianzishia thread.Pascal Mayalla usijifanye hujaona hii njoo huku uhesabike