Kawaida ukimtendea MTU ubaya Mungu huwa ananjia zake za kuokoa. Mungu haruhusu ubaya wa mtu ukuangamizeMbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?