denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Wafanyabiashara wakubwa wengi wana account ndani na nje ya nchi.Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?