Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

Mbowe amekosa Utu, hivi inawezekanaje leo hii anamkashifu na kumshambulia mtu aliye kufa?!!! ili iweje sasa?

watanzania walio wengi waneumia sana kwa kuondokewa na Huyo unaye mkashifu leo hii.
huu sio uungwana
Ukweli usisemwe?
 
Mbowe ni muongo.

Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Kabla Magu hajatawala ukoo wa Mbowe walikuwa na business Dubai. Hivyo baada ya kufungiwa alternative plan ni kwenda kusimamia kilichopo
 
Mbowe ni muongo.

Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Na alikuwa wapi muda wote huo kusema... Anasuburi mtu afe!
 
Sidhani kama nilikosea kufurahia kwa kiwango kile baada ya kusikia he is already in the woodBox Maana sio kwa ukatili kama huo aliokua akiufanya.

Ndio maana maza alikazia sana kipengele cha TRA na kubambikia watu kesi.

Yule jamaaa ni balaaa ngoja nisitukane ila alipo sasa ndipo alipostahili kwa matendo yake.
 
Nina wasi wasi na elimu yako. Ngoja nikupe mfano mdogo.
Kulikuwa na watumishi waliokuwa wanatumia vyeti feki, na walifukuzwa kazi. Hao watumishi waliofukuzwa kazi umeshawahi kuwasikia wamekufa njaa?
Account za Mbowe zimefungwa. Unafikiri Mbowe anategemea hizo pesa za kwenye account aweze kuishi? Mbali ya kuwa mwanasiasa ni mfanyabiashara, kwahiyo anafungua account nyingine hata kwa jina la mwanae, anaendelea kufanya biashara.
Unaonesha hata maji ya bombani yakikatika mwaka mzima. Huwezi kuoga mpaka uyasubirie yaje
Account iliyofungwa inafanyaje miamala

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Kama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..

Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..

Waendelee tu kuongea...........
Kwa akili yako ulikuwa hujui kipindi cha Magu mahakama iliwekwa mfukoni kwa Magu. Kingine cha kufahamu usidhani kila mtu ni katili,kwahiyo usidhani huyu mama atakuwa katili kama mume wako Magu.
 
Back
Top Bottom