Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anadhaminiwa ni mtu yoyote kupewa mkopo popote Africa mbowe sio kama mimi na wewe ambao hatujulikane hiyo hoja yako ni dhaifu tafuta hoja zito kumpinga acha ushabiki Jiwe hakua mtu mzuri.........mimi binafsi nilikua na wasanifu tu eti tunamboleza kifo chake nilimshukuru sana Mungu kumondoa.Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Ngoja niakaanzie pale kabiriniwatanzania hatuna ukatili wa kiwango hiki. uraia wa huyu mtu uchunguzwe
[emoji16][emoji16]Asante Mungu kwa kutuondolea Lile Jiwe,
Yule mtu hakuwa na chembe ya Ubinadamu kabisa,halafu kila siku eti "watanzania mniombee"yaani tukuombee utese watu?
Kwa hofu aliopandikizia watumishi wa uma mpaka sasa kuna ambao bado hawaamini kama ni kweli alikufaMagu hakuwa binadamu bali mtu.
Sijui alidhani Mbowe angeunga mkono juhudi!!!
Inasemekana Manji alishawahi mwambia "siongei na mbwa,naongea na mwenye mbwa" enzi za JMKJamaa alkuwa hapend wafanyabiashara,sjui walmfanya nn
Kumbe ndio maana nae alikuja kufanyiwa mizengwe?. Tuliongozwa na mtu mbaya kwakweliInasemekana Manji alishawahi mwambia "siongei na mbwa,naongea na mwenye mbwa" enzi za JMK
Mkuu hakuna siku nilikuwa na furaha hadi kukosa usingizi kama usiku ule wa saa 5Ningeyajua mapema haya mambo. Wala nisingemlilia ile siku ya kuaga mwili wa katili. Natamani kudai fidia ya machozi yangu yaliyotoka isivyostahiki.
Na watumishi wa uma pia alikuwa hawapendi. Sababu kubwa ni watu wanaojielewa. Aliwapenda bodaboda ili awatumie kuandamana ili atawale milele maana ni wengi pia hawajielewi.Jamaa alkuwa hapend wafanyabiashara,sjui walmfanya nn
Mbowe siyo kapuku kama wewe, kwa nguvu ya kiuchumi aliyonayo na kwa mikiki ya kisiasa anayopitia lazima awe na accounts nje ya nchi so bilashaka alitumia pesa alizowekeza nje na siyo dhambi.Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Yule mzee alikuwa gaidi kweli roho mbaya mpaka Basi duuh.Aisee, Na ile bustani ya Mbowe ilifyekwa mazao yote, Ukumbi wa burudani wa Bilcana nao ukavunjwa, ukaporwa na ubunge wako. Lakini ulikuwa mvumilivu sana wala hukulalamika mahali popote. Pole mkuu Mbowe, yote hayo walitaka ukaunge juhudi za mtu hatari.
Unahaki ya kususa hata kwenda msibani Chato
Anajichafua mwenye ikikuuma nenda chato kasemeSasa naamini kuna kampeni chafu ya kumchafua JPM!
Kama ni toka 2018 alishindwa nini kuitumia ktk siasa za uchaguzi kama ilivyo kwa wanasiasa wetu kutafuta sympath!!
Unadhani yeye ni fala hana accounts nchi za ughaibuni, wajanja huishi kwa tahadhari kwani sometimes mijibwa ndiyo inakuwa imekabidhiwa dola na kufanya kama haya yaliyofanyika.Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Never again!Kama ulikwepa kodi miaka ya nyuma utaachajwe?