Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kwa kweli bwana mwenda alikua akitenda matendo ya kiibilisi kabisaaaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie watu walikuwa na uchungu nyie,mi nshamsamehe kwakweliAisee, Na ile bustani ya Mbowe ilifyekwa mazao yote, Ukumbi wa burudani wa Bilcana nao ukavunjwa, ukaporwa na ubunge wako. Lakini ulikuwa mvumilivu sana wala hukulalamika mahali popote. Pole mkuu Mbowe, yote hayo walitaka ukaunge juhudi za mtu hatari.
Unahaki ya kususa hata kwenda msibani Chato
Toa picha hilo.utajiletea laana bureNa alikuwa wapi muda wote huo kusema... Anasuburi mtu afe!
Tukichimbua tu Mayanga Construction utarudi pale mlipozika ukalie upya.Halafu Mbowe anataja kua Hayati Magufuli alikua na upendeleo wa kindugu, neportism, anaweza kutupatia ushahidi kua kulikua na upendeleo huu na huu wa kindugu wakati wa Magufuli?
Tupate ushahidi wa ndugu zake na Magufuli ambao aliwapendelea na hawakua na sufa kwenye nafasi za kiutumishi.
Hii kampeni ya ukabila inapigiwa chapuo sana na makabila ya kaskazini. Wanajitahidi kutaka kufukia tabia yao ya ukabila nchi hii. Mfano, Kimei amejaza wachaga CRDB.
Amesema kuangalia fursa..kuwa makini kijana..tutakuchapa viboko na wewe kabla hatujalichapa la maguSikiliza maelezo yake mwenyewe anasema baada ya kufungiwa ndio akaamua kwenda Dubai kuanzisha biashara, hakusema kama alikua na biashara huko.
Kuna watu wanasema; oil chafu haichafuliwi na huwezi kusugua mkaa ukitegemea kuubadilisha rangi!!Sasa naamini kuna kampeni chafu ya kumchafua JPM!
Kama ni toka 2018 alishindwa nini kuitumia ktk siasa za uchaguzi kama ilivyo kwa wanasiasa wetu kutafuta sympath!!
Amwambie nani wakati dikteta aliiteka nchi?Na alikuwa wapi muda wote huo kusema... Anasuburi mtu afe!
Yaliyopita, yaliyopo na yajayo husemwa kwa pamoja Kama unataka mstakabali mwemaHii ya kumshambulia Hayati iishe, naona watu wangekaa kimya tu Sababu Mungu anajua zaidi kashafanya yake Watu mpate amani, sasa yanini lawama tena?
Kati ya hazina Mungu alizotubariki nazo huwezi ukaacha kumtaja hyo mwamba na mzalendo wa kweli aliepo kwenye hyo avatar yako, badala ya kutumia vichwa kama hvi vitusaidie kumove on wapumbavu wanaweka wajinga kwenye madaraka.watanzania hatuna ukatili wa kiwango hiki. uraia wa huyu mtu uchunguzwe
Yupo mbinguni huyo sasa hivi.Toa picha hilo.utajiletea laana bure
Mbona wamemrudishia hela zake Kama hakufuata Sheria?Kama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..
Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..
Waendelee tu kuongea...........
Mkuu kuna imani potofu kwamba wachaga ni wezi, eti mafisadi, Lakini ukweli ni kwenye mambo kama haya! Unajaribu kumzuia Mbowe kwenye mambo madogo hayo, kumbe anapeta tu! Kumbana Mtu mwenye akili zake, atatumia akili hizo kutoka kwa njia nyingine!Account zimefungwa, ulitegemea akae tu amsubiri JPM?
Kweli wewe ni mnyonge. Ukidondosha hela, unalala njaa, kuzisubiri mpaka uzipate hizo hela ndiyo ukale?
Wamefunga account na siyo hela. Unaweza kufungua account lenye jina la mwanao na ukafanya miamala km kawaida.
kuna dikteta anayechanguliwa kwa asilimia 80+ ya kura halali?Amwambie nani wakati dikteta aliiteka nchi?
Endelea kusikitika wewe ulieumia na kifo chake,acha watu watoe na moyoni,kama huko ni kumshambulia basi acha ashambuliwe maana ndio alitaka akumbukwe hivyo.Mbowe amekosa Utu, hivi inawezekanaje leo hii anamkashifu na kumshambulia mtu aliye kufa?!!! ili iweje sasa?
watanzania walio wengi waneumia sana kwa kuondokewa na Huyo unaye mkashifu leo hii.
huu sio uungwana
Itakuwa za njeMbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Haukuwa ukimfahamu tu, kwa waliokuwa wakimfahamu wanajua alikuwa vipi. Sadist.Hahaaaa! Litumike greda afukuliwe tumtie bakora.
Ndugu nikusaidie kuelewa, wafanyabishara wote wakubwa duniani hutunza pesa zao kwenye nchi mbalimbali. Hawaweki kwenye nchi mojaMbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?