Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 358
Wewe ushawahi kulipa kodiMbowe anatumia chama chake kutetea mambo yake binafsi ya kibiashara.
Endapo Serikali yetu itaendekeza Tabia mbaya kama aliyo ionyesha Mbowe, basi kila mfanya biashara ktk nchi hii atatumia ujanja wake ilimradi tu aonewe huruma asilipe kodi kwa kisingizio.....eti.....alionewa!!! hakika serikali itaambulia patupu!!! na ulaghai wa kulipa kodi utashamiri na mapato lazima yatapungua.
Ifahamike kuwa wafanya biashara walio wengi wana HULKA ya kukwepa kulipa kodi wengi wao wanataka faida kubwa zaidi kwa njia yoyote ile.
Mbona millard ayo haurusha haya wakati magu yuko haiMbowe ni mnafiki mbona hakusema haya kipindi cha JPM ,anazidiwa na msukuma aliewasemea wafanya biashara JPM akiwa hai
Mkuu kumbe na wewe hewa tu.Halafu Mbowe anataja kua Hayati Magufuli alikua na upendeleo wa kindugu, neportism, anaweza kutupatia ushahidi kua kulikua na upendeleo huu na huu wa kindugu wakati wa Magufuli?
Tupate ushahidi wa ndugu zake na Magufuli ambao aliwapendelea na hawakua na sufa kwenye nafasi za kiutumishi.
Hii kampeni ya ukabila inapigiwa chapuo sana na makabila ya kaskazini. Wanajitahidi kutaka kufukia tabia yao ya ukabila nchi hii. Mfano, Kimei amejaza wachaga CRDB.
Angekuwa amepigwa ban na TCRAMbona millard ayo haurusha haya wakati magu yuko hai
Hiyo miaka ya nyuma TRA walikuwa wapi?Kama ulikwepa kodi miaka ya nyuma utaachajwe?
akili zako ni pungufu weweMbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
AngepotezwaMbowe ni mnafiki mbona hakusema haya kipindi cha JPM ,anazidiwa na msukuma aliewasemea wafanya biashara JPM akiwa hai
Biashara huanzia kichwani sio kwenye pesaMbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Kwahyo hik kikamfanya kuwachukia wafanyabiashara wote,maana kawavuruga hasa,wengi hawajasema tu yaliyowakutaInasemekana Manji alishawahi mwambia "siongei na mbwa,naongea na mwenye mbwa" enzi za JMK
Ameongea kama mfanyabiashara,Mbowe ameongea lakini hakuongea kama kiongozi wa siasa anayejua wanachama wake wanataka nini, kufungiwa akaunti zake ni jambo binafsi kuliko kuwazungumzia covid 19 ambalo ni jambo la kichama na kitaifa.
Swali la Covid 19 hajaongelea ndio maana anatuhumiwa kuwa wale wana baraka zake,aliongea kama mwenyekiti wa chama na sio mfanyabiashara maana taarifa zote mwenyeki wa chama ataongeaAmeongea kama mfanyabiashara,
ni sahihi maana naye amekuwa muhanga wa sera za biashara za mwendazake.
Lakini pia kama kiongozi wa kitaifa, ameyasema hayo kama mfano wa namna wafanyabiashara walivyoumizwa kwenye kipindi hicho cha miaka 5.
Tumshukuru Mungu kweli kwa kumuondoa maana binadamu mmoja alijua kunyanyasa watu karibia million 60.[emoji2772]tena lazima watanzania mngetembea na chupi mdomoni maana sio kichwani tena
Marehemu magufuli alikuwa ni mrundi usipate shida kufanya uchunguziwatanzania hatuna ukatili wa kiwango hiki. uraia wa huyu mtu uchunguzwe
Task force ingekuwa ni Nchi kama South Africa ama ulaya, America mda huu wote wangekuwa chini ya uchunguzi mali zao maana wengi wametajirika kupitia mgongo upepo wa marehemu magufuliJiwe alitaka kila mtu awe amekufa lakini mwisho wa siku Mungu kamchukua yeye idiot kabisa mkuu wa malaika na wanyonge wa kitovuni