Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

Mbowe anatumia chama chake kutetea mambo yake binafsi ya kibiashara.

Endapo Serikali yetu itaendekeza Tabia mbaya kama aliyo ionyesha Mbowe, basi kila mfanya biashara ktk nchi hii atatumia ujanja wake ilimradi tu aonewe huruma asilipe kodi kwa kisingizio.....eti.....alionewa!!! hakika serikali itaambulia patupu!!! na ulaghai wa kulipa kodi utashamiri na mapato lazima yatapungua.

Ifahamike kuwa wafanya biashara walio wengi wana HULKA ya kukwepa kulipa kodi wengi wao wanataka faida kubwa zaidi kwa njia yoyote ile.
Wewe ushawahi kulipa kodi
 
Halafu Mbowe anataja kua Hayati Magufuli alikua na upendeleo wa kindugu, neportism, anaweza kutupatia ushahidi kua kulikua na upendeleo huu na huu wa kindugu wakati wa Magufuli?

Tupate ushahidi wa ndugu zake na Magufuli ambao aliwapendelea na hawakua na sufa kwenye nafasi za kiutumishi.

Hii kampeni ya ukabila inapigiwa chapuo sana na makabila ya kaskazini. Wanajitahidi kutaka kufukia tabia yao ya ukabila nchi hii. Mfano, Kimei amejaza wachaga CRDB.
Mkuu kumbe na wewe hewa tu.
 
Huyo sio mlipa kodi, kama bilikana alidaiwa miaka nenda miaka rudi
Kwa hali hiyo ni mzoefu wa kukwepa kodi.
 
Mbowe ni muongo.

Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
akili zako ni pungufu wewe
 
Mbowe ni mmoja wa walioumizwa sana na nchi yake.

Kweli kila jambo lina mwisho wake.

Nasi tunarudisha SIFA NA UTUKUFU HUKO MBINGUNI.
 
Mbowe ni muongo.

Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Biashara huanzia kichwani sio kwenye pesa
 
Inasemekana Manji alishawahi mwambia "siongei na mbwa,naongea na mwenye mbwa" enzi za JMK
Kwahyo hik kikamfanya kuwachukia wafanyabiashara wote,maana kawavuruga hasa,wengi hawajasema tu yaliyowakuta
 
Mbowe ameongea lakini hakuongea kama kiongozi wa siasa anayejua wanachama wake wanataka nini, kufungiwa akaunti zake ni jambo binafsi kuliko kuwazungumzia covid 19 ambalo ni jambo la kichama na kitaifa.
Ameongea kama mfanyabiashara,
ni sahihi maana naye amekuwa muhanga wa sera za biashara za mwendazake.
Lakini pia kama kiongozi wa kitaifa, ameyasema hayo kama mfano wa namna wafanyabiashara walivyoumizwa kwenye kipindi hicho cha miaka 5.
 
Ameongea kama mfanyabiashara,
ni sahihi maana naye amekuwa muhanga wa sera za biashara za mwendazake.
Lakini pia kama kiongozi wa kitaifa, ameyasema hayo kama mfano wa namna wafanyabiashara walivyoumizwa kwenye kipindi hicho cha miaka 5.
Swali la Covid 19 hajaongelea ndio maana anatuhumiwa kuwa wale wana baraka zake,aliongea kama mwenyekiti wa chama na sio mfanyabiashara maana taarifa zote mwenyeki wa chama ataongea
 
Jiwe alitaka kila mtu awe amekufa lakini mwisho wa siku Mungu kamchukua yeye idiot kabisa mkuu wa malaika na wanyonge wa kitovuni
 
[emoji2772]tena lazima watanzania mngetembea na chupi mdomoni maana sio kichwani tena
Tumshukuru Mungu kweli kwa kumuondoa maana binadamu mmoja alijua kunyanyasa watu karibia million 60.
 
Jiwe alitaka kila mtu awe amekufa lakini mwisho wa siku Mungu kamchukua yeye idiot kabisa mkuu wa malaika na wanyonge wa kitovuni
Task force ingekuwa ni Nchi kama South Africa ama ulaya, America mda huu wote wangekuwa chini ya uchunguzi mali zao maana wengi wametajirika kupitia mgongo upepo wa marehemu magufuli
 
Baraza la mawaziri wasukuma kibao, tenda za ujenzi wa SGR aliwapa wasukuma kibao na ujenzi wa chato Airport ni wasukuma watupu
 
Back
Top Bottom