The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Wataje wasukuma kwenye baraza la mawaziri tuhakikishe. Acha tu kujiropokea, weka majina na idadi yao.Baraza la mawaziri wasukuma kibao, tenda za ujenzi wa SGR aliwapa wasukuma kibao na ujenzi wa chato Airport ni wasukuma watupu
SGR wamepewa wasukuma, sio Waturuki tena?
Chato Airport ni Wasukuma gani walijenga?